Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,835
- 37,445
Mie mkeo.?
Last edited by a moderator:
Thanks alot! leo sijajiandaa next time, so sory.
Mpenzi,nini mbaya.
Nimewashtukia Hun,hasa Chimbuvu anakutangaza ati ulikua mkewe Nicas Mtei fitna zake amezielekeza kule siasani ili kuni-frustrate.Nina misimamo.Nakupenda sana Madame B.Sikuachi hata iwejeBen Saanane mpenzi wangu,usisikilize maneno ya wana ChitChat.
Utanipoteza.
Lengo lao uniache ili wanichukue.
CC: Nicas Mtei, KakaKiiza na Chimbuvu.
Teh teh teh teh. Mrudie JS
Hun kumbe jana ulilowea Contessa?Nilikuuliza ukaniongopea ni JD kidogo?...ulisema ulikua unahisi nilenda kukutana na Evelyn Salt wakati nilipokuaga naelekea kwenye kiako jioni baada ya kutoka job.Mhh,unanitia wasi wasi swetie
Wifi yangu,nina bifu nae.
Nimewashtukia Hun,hasa Chimbuvu anakutangaza ati ulikua mkewe Nicas Mtei fitna zake amezielekeza kule siasani ili kuni-frustrate.Nina misimamo.Nakupenda sana Madame B.Sikuachi hata iweje
Nimewashtukia Hun,hasa Chimbuvu anakutangaza ati ulikua mkewe Nicas Mtei fitna zake amezielekeza kule siasani ili kuni-frustrate.Nina misimamo.Nakupenda sana Madame B.Sikuachi hata iweje
Majungu yangekua mtaji....
Majungu yangekua mtaji....
hahahaha. Nipo Geita. Kuna mdada anasema ulmwachia mtoto. Peleka matumizi
Yani ukiendelea kuwasikiliza akina Nicas Mtei,utanipoteza hvhv.
Jana si nilikwambia kuwa naumwa?
Ha a kazini sikwenda.