List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

Umeuliza ningefanya nini if it was me - ninge behave kama chama cha siasa na kuja na sera in that context, kuteka majimbo mengi as much as i can kwa nguvu ya hoja, sio kutishia wananchi kwamba wana viongozi wala rushwa. Pia ningeanzisha a very good media network ya kuelimisha wananchi kuhusu haki zao based on sera zilizopo under the current government. Wananchi hawajui haki zao ni nini sababu hakuna communication and dissemination ya information. Hii indirectly ingewaumiza sana serikali. Upinzani need to challenge ccm sera kwa sera, sio kudakia only pale ambapo hata wananchi wanaona kuna issue, mfano madini. Thats very low as a political party.


Wapinzani wamekuwa makini so far kwa sababu wanashirikiana kwa karibu na NGO mbalimbali na pia sasa wana media mbali mbali ambazo zinasaidia kufikisha ujumbe wao wa Sera...lakini pamoja na jitihada hizi ambazo mimi naona zinaweza kuboreshwa zaidi kama unavyopendekeza bado naona kuna umuhimu wananchi wakiangalia CCM kama chama cha siasa na sio dhehebu la dini. Watanzania wengi hawakipigii ccm kuwa kwa sababu ni chama chenye sera nzuri [ingawa ni kweli ccm wana sera nzuri] ila wanakipigia kura kwa sababu ni chama tawala, kilicholeta uhuru, kinachoshikilia dola n.k

Hii imani ya kuwa ccm ni baba na mama inatakiwa iwatoke wananchi kwa kuwekewa hadharani kuwa ccm hii ndio inayowanyima maendelea kwa kusaini mikataba mibovu, kukumbatia wala rushwa, kubana demokrasia bungeni n.k

Mrema 1995 hakupata kura zile alizopata kwa sababu alitoa sera nzuri sana bali aliweza kuonekana mbele ya wapiga kura kuwa ataweza kuwasaidi kufikia maisha bora kwa kupiga vita wala rushwa, kupambana na ujambazi n.k

Sera ni muhimu; lakini Je wapiga kura wetu walio wengi wako makini kuchambua sera na kuangalia sera mbadala; kwa maoni yangu naona huko bado hatujafika.
 
Mchambuzi,
Kama ningekuwa mimi, ninge behave kama chama cha siasa na kuja na sera in that context, kuteka majimbo mengi as much as i can kwa nguvu ya hoja, sio kutishia wananchi kwamba wana viongozi wala rushwa. Pia ningeanzisha a very good media network ya kuelimisha wananchi kuhusu haki zao based on sera zilizopo under the current government. wananchi hawajui haki zao ni nini sababu hakuna communication and dissemination ya information. Hii indirectly ingewaumiza sana serikali. Upinzani need to challenge ccm sera kwa sera, sio kudakia only pale ambapo hata wananchi wanaona kuna issue, mfano madini. Thats very low as a political party.
Si unaona mjomba... wewe Mchambuzi utaweza vipi kufikiria maswala ya Chama kizima.. maelezo yako yanaonyesha wazi unachozungumzia hapa ni chama (Upinzani) sio mtu mmoja - Mrema ama Slaa.
Na ajabu umetumia neno Kama ningelikuwa mimi... ukitumia majibu ya Chama kizima.. kwani wewe chama?

Nadhani wanachojaribu kufanya akina Zitto, Slaa na Mrema ni nje kabisa ya fikra za Kijamaa kwani mambo kama haya hayajawahi kutokea. Tunashangaa tunapigwa na butaa, kwani tumezoea kuona kuwa ku- challenge viongozi wa CCM ni dhambi kubwa sana chini ya Ujamaa... Maradhi aliyotuachia Mwalimu Nyerere ni kuogopa Utawala.
 
The only difference ni kwamba kina zitto na kabwe ni wapya na watazoeleka tu na kusahaulika kwasababu hawana any new approach and it has proved not to be sustainable. Sana sana watashinda majimbo yao ya uchaguzi kama mrema jimbo la temeke 1995 and then phase out leaving ccm prospering.

Mchambuzi hii unayoongea ni Contradiction kwa sababu wapinzani wakishinda majimbo ya uchaguzi ni success na ndiyo lengo mojawapo la wapinzani.

CCM bado wana advantage kubwa sana kutokana na wrong approach ya hawa wapinzani. When it comes push to shovel, ccm wenyewe wataeunguana kukinusuru chama na kina kabwe, slaa wataishiwa hoja sababu siasa zao ni za hoja, sio za sera.

Sera hunadiwa kwa hoja, huwezi kutenganisha kati ya sera na hoja sera nzuri bila hoja nzuri haiuziki, wakati mwingine sera mbaya iliyopikwa kwa hoja nzuri inaweza kukubaliwa vile vile.

Kitu kingine ni kwamba kusubiri CCM wageukane wenyewe ni kitu very ridiculous hao ni watu walioamua kusafiri ndani ya chombo kimoja hawako tayari kutosana, ni watu watakaolindana tu, Wanajuana kwamba miongoni mwao si wasafi, ni nani atakuwa wa kwanza kumnyooshea mwenzake kidole?. kusubiri CCM wageukane ni sawa na fisi kusubiri mkono uanguke aule.

Halafu unajaribu kuicrush approach ya Mrema ya mwaka 1995 kumbuka mrema huyo huyo ndiye aliyepata kura nyingi 1995 kuliko wapinzani wote combined mwaka 2005, Mrema na wapinzani kwa ujumla walichezewa rafu nyingi sana za kisiasa na serikali ya CCM, kesi za kubambikiwa (rejea kesi ile ya mrema ),wapinzani kuwekewa vikwazo mbalimbali katika vyanzo vyao vya kiuchumi mfano Masumbuko Lamwai, CCM kutumia ubabe katika uchaguzi, rejea Zanzibar.Serikali ya CCM kutumia vyombo vya dola kudhibiti haki za wananchi kuandamana kwa amani mfano mauaji ya zanzibar

Mchambuzi kubali usikubali kama siyo juhudi rasmi za Kambarage kuingilia kati CCM walikuwa wanaondoka mwaka 1995.hakuna namna Mkapa angeweza kumwangusha Lyatonga wakati huo (kama uchaguzi ungekuwa huru na wa haki).

Huwezi kupropagate Sera ukaacha kuzungumzia Rushwa, Rushwa ni jambo zito sana "politically", "economically" na "socially"
Ni lazima uonyeshe utapambana vipi na rushwa na ikiwezekana kama kuna watu unao uhakika nao kwamba ni wala rushwa unawaexpose na kuwachukulia sheria vile vile
No doubt approach ya kuwataja wala rushwa ni approach nzuri kwa sababu inawapa political burden watajwa , na ni dhahiri wananchi wa sasa taratibu wanaanza kuwa macho na watu wa namna hii.
 
Nchi yangu ya tanzania inahitaji kuongozwa na chama cha siasa na so far chadema na wenzake in my view sio vyama vya siasa ..... Ndio maana sioni option nyingine zaidi ya ccm .......sio kuhangaika na hizi pressure groups za kina slaa, kabwe.

Between the lines ..... This is what Mchambuzi analipwa na mwizi na mkoloni Rostam Aziz kufanya..... ku-deflect topic kutoka one point kwenda kwa wapinzani...

Issue hapa ni wala rushwa wa CCM, yeye anaigeuza kusema kuwa Chadema na wenzake sio vyama vya siasa.... Kama sio vyama vya siasa then ni nini! last time Mchemfu Kikwete na wapambe wake wamewaambia wamarekani kuwa Tz ni nchi ya kidemokrasia kwa kuwa kuna vyama vya siasa... vikatajwa kwa majina CUF, CHADEMA, etc
leo when kibao kinageuka....... propaganda za Rostam Aziz ni kuwa CCM ndio chama pekee cha siasa (monoparty!?) na Mchammbuzi haoni option nyingine zaidi ya sisiemu
.......



Pia ningeanzisha a very good media network ya kuelimisha wananchi kuhusu haki zao based on sera zilizopo under the current government. wananchi hawajui haki zao ni nini sababu hakuna communication and dissemination ya information. Hii indirectly ingewaumiza sana serikali. Upinzani need to challenge ccm sera kwa sera, sio kudakia only pale ambapo hata wananchi wanaona kuna issue, mfano madini.

What a crap..... boss wako Rostam Aziz ananunua media zote na anakutuma wewe na wenzako kina Rweyemamu kuleta propaganda humu then una-gat ya kushauri CHADEMA namna ya kuwa na media network? vyama vya upinzani haviitaji ushauri toka kwa mwizi na mkoloni Rostam Aziz na wapambe wake kama wewe!
 
Wapinzani wamekuwa makini so far kwa sababu wanashirikiana kwa karibu na NGO mbalimbali na pia sasa wana media mbali mbali ambazo zinasaidia kufikisha ujumbe wao wa Sera...lakini pamoja na jitihada hizi ambazo mimi naona zinaweza kuboreshwa zaidi kama unavyopendekeza bado naona kuna umuhimu wananchi wakiangalia CCM kama chama cha siasa na sio dhehebu la dini. Watanzania wengi hawakipigii ccm kuwa kwa sababu ni chama chenye sera nzuri [ingawa ni kweli ccm wana sera nzuri] ila wanakipigia kura kwa sababu ni chama tawala, kilicholeta uhuru, kinachoshikilia dola n.k

Hii imani ya kuwa ccm ni baba na mama inatakiwa iwatoke wananchi kwa kuwekewa hadharani kuwa ccm hii ndio inayowanyima maendelea kwa kusaini mikataba mibovu, kukumbatia wala rushwa, kubana demokrasia bungeni n.k

Mrema 1995 hakupata kura zile alizopata kwa sababu alitoa sera nzuri sana bali aliweza kuonekana mbele ya wapiga kura kuwa ataweza kuwasaidi kufikia maisha bora kwa kupiga vita wala rushwa, kupambana na ujambazi n.k

Sera ni muhimu; lakini Je wapiga kura wetu walio wengi wako makini kuchambua sera na kuangalia sera mbadala; kwa maoni yangu naona huko bado hatujafika.


Yebo yebo umegusa pale yalipo mawazo yangu kabisa!

Kwa mtanzania mpiga kura haitaji sera kuinyima CCm kura, anacho hitaji ni kutambua CCM imeshindwa kumfanyia nini? ambacho wewe ndo utamfanyia! Ndo maana bado naamini huu mkakati wa kuanza kuonyesha watu/kuwaamsha waone ubovu wa CCM ni maridhawa kabisa, watu wakisha ona ubovu ni rahisi hata hizo sera zako nzuri kuwaingia!. lakini bila kumuonyesha kwamba alicho nacho ni kibovu, kwanini ahangaike kukiachia?

Nilikuwa nikongea na wazee fulani habari za siasa, tukafikia sehemu nikawa nawambia CCM ilivo choka, jambo la kwanza walinishangaa sana na kuthubutu kunilaumu kwamba sisi vijana hatuna shukrani, CCM imetulea imetusomesha hadi leo, kwahiyo hiyo ndo shukrani yetu baada ya kusoma? Ilinichukua zaidi ya dakika arobaini kukata issue kwa kutumia mifano hai ndipo wazee walipo elewa!!!

Kwa hiyo kuonyesha ubovu wa CCM nadhani ni jambo la msingi sana kwa vyama mbadala ili viweze kukubalika katika jamii ya Kitanzania ambayo imelelewa kwa kuaminishwa kwamba CCM ndo kila kitu!
 
Mtanzania, asante kwa hoja yako nzuri.
Inasikitisha kuona wengi wetu humu JF wakipata nafasi ya kwenda kumkomboa mtanzania wataenda kufanya ya mrema 1992 na sasa ya slaa na kabwe. Inasikitisha zaidi kuona kwamba wengi humu hawaelewi kwanini ccm haina upinzani wa maana. Narudia tena, hii sera ya kusema huyu na yule ni mla rushwa sio kwamba ni mbaya lakini isiwe ndio msingi wa sera za kuiondoa ccm madarakani. It wont work. Why? because ikifikia push to shovel, hata ccm yenyewe ikibanwa itawageuka wanaoharibu chama - wala rushwa etc ili kujisafisha, sasa baada ya hapo kina slaa watasema nini, kwamba chama cha mapinduzi kimewasikiliza, kimewaiga? then what? Hoja yangu ni kwamba hii approach ya kubakia kupigia kelele rushwa na kuishia hapo hapo bila kuja na mikakati mingine kabambe ya kumnasua mkulima na mfanyakazi toka kwenye dimbwi la umaskini ni approach za udaku na zitaishia kujengea wana ccm safi mazingira mazuri zaidi.
Siri ya kuiangusha ccm ni kukazania mambo muhimu in the context of sera za maendeleo ya mkulima na mfanyakazi. Hii iende sambamba na mikakati ya kuchukua majimbo ya ccm kwa kujinadi na sera nzuri, sio kwa kutumia vigezo vya rushwa, wananchi wenye akili watatia shaka sana kumpa mpinzani ubunge just because ametaja majina ya wala rushwa. Hizi za rushwa ziwe tu kama dondoo kwa sababu believe me or not, soon or later ccm ndani mle watageukana na baadhi ya viongoi ku excel kwa kusafisha rushwa while they are still wana ccm. Tupo hapa JF na muda huo ukifika tutarudia suala hili tena.

Kina kabwe wanapoteza tu muda huko mikoani, this was an aopportunity for them kunadi sera zao na mwishoni mwishoni ndio kutaja mambo ya rushwa kama mifano.

Mtanzania na Mchambuzi,

Muna hoja ambayo sio wengi wanaweza kuelewa lakini hoja kama hoja siku zote ni ngumu watu kuelewa,,, kinachoeleweka haraka sana ni UDAKU au Contemporary issues!!! Kwa mfano kilichompandisha juu Mrema na Sasa Kabwe Zuberi ni hizo hizo contemporary issues!!!

Nimewaelewa kitu kimoja tu na kinaongelewa sana kwenye business competition; What is differentiator btn CCM and CHADEMA or opposition, this is what you are trying to educate people, but they can not understand unless unatumia lugha lenye udaku udaku kidogo!

Lingine nimesoma btn the lines, ni kuwa na sustainable strategy, ambayo waweza ongelea kwenye uchaguzi wa 1995/2000/2006/2010/2015 etc.

Defition ya strategy ni hii hapa!

A strategy is a long term plan of action designed to achieve a particular goal, most often "winning". Strategy is differentiated from tactics or immediate actions with resources at hand by its nature of being extensively premeditated, and often practically rehearsed.
The word derives from the Greek word stratēgos, which derives from two words: stratos (army) and ago (ancient Greek for leading). Stratēgos referred to a 'military commander' during the age of Athenian Democracy.
 
Heshima yako Mchambuzi...napenda unavyokata issues.

Hebu niangalie mtazamo wako unaoutetea wa hoja ya sera. Katika siasa zetu Bongo SERA zinachukua nafasi gani? watanzania wanaopiga kura kwa kuangalia sera ni asilimia ngapi ya wapiga kura wote. Je unaweza kuniambia wanakijiji pale Buzwagi ukiwaambia mzungu amepewa mgodi kwa njia zenye mashaka ndio maana hapa kijijini kwenu hakuna hospitali, shule, kituo cha polisi, barabara n.k watakuuliza sera ya chama chako ni ipi. Je kuna kweli hata hapo Dar ambako wapiga kura wenye elimu ni wengi zaidi wanajua kweli sera za CCM kulinganisha na za Chadema, TLP, CUF n.k?

Nimependa maswali yako ambayo kwa kweli ndio msingi wa matatizo yote hapa nyumbani. Mtanzania , maskini in particular lazima aelimishwe kwamba maendeleo yoyote ya maana yatatokana na sera, sio kwa kutatuliwa scandals za hapa na pale. Isitoshe, wabunge wengi wakipita kwenye hayo majimbo yenye migodi wataishia tu kusifika kwa hao wapiga kura kwamba wamei challenge serikali, but then what?

Tatizo ambalo tunalisahau ni kwamba Tanzania ni nchi ambayo haijapiganiwa toka kwa mkoloni. Mkoloni alitupa kwa amani na hii haikutokana na approach ya nyerere wala nani kupigania uhuru, handing over kwa amani ilikuja based on circumstances za wakati ule za koloni la Tanganyika. At the end of the day, hakuna kiongozi au generation ya uongozi ambayo inaweza sema ina uchungu na nchi ya tanzania kwa kuipigania na kuipokonya toka kwenye makucha ya wakoloni. Ndio maana viongozi wengi wanatafuna na hawaogopi. Nchi kama zimbabwe, angola, msumbiji, south afrika haziwezi fikia hatua ya rushwa kama tanzania sababu kuna walio pigania hizi nchi na either generations zao zimekaa pembeni zikitazama au zipo madarakani in one way or another na wanafanya kazi kwa uangalifu mkubwa. Kenya ni same ila ukiangalia kwa makini, wakikuyu wanapewa all the opportunities na hii ni kwa sababu ndio waliopigana kwenye mau mau. Ukiwachezea hawa wakikuyu kwa kuweka viongozi wengine na waanze kula na kuharibu nchi, kenya itaenda kubaya. So ukila nchi kenya lazima uhakikishe wakikuyu na wao hawaachi nyuma.

Tanzania hatuna kiongozi mwenye uchungu na tanzania zaidi ya nyerere ambae ni marehemu tayari au wale wafuasi wachache wa nyerere ambao na wao hawakutumia nafasi zao kula nchi. lakini kuna baadhi yao ambao wamejimegea hapa na pale hivi karibuni kwa sababu kustaafu na dignity doesnt help your well being katika maisha ya kustaafu. At most utageuka kuwa kicheko tu as mheshimiwa mwenye suruali yenye vitobo kwenye makalio.

Nchi yetu tuliipata kwa bei ndogo sana. Wenye uchungu ni generations za sasa ambazo either - uchungu wao unatokana na kwamba wao hawajapata nafasi ya kula au uchungu wao unatokana na exposure yao ya kuona wengine wanavyoendesha nchi kwa principles nzuri za good governance, so they wonder why nchi yao inachezewa. Na katika kundi hili la pili, wakipewa nafasi ya kula watatulia. At the end of the day, wazalendo wa kweli wa Tanzania ni wa kuhesabu.

Tanzania haitaweza kombolewa na any of the politicans wa sasa. Katika kipindi hiki cha mpito, kwa mtazamo wangu, ni bora hao kina mwandosya na wengine washikilie sababu ccm ukiondoa uchafu wa hapa na pale ni chama peke yake cha kweli.
Mbeleni, watanzania watakaoweza ikomboa Tanzania ni vijana wengine wenye uchungu na Tanzania kwa mfano baadhi ya wa humu JF, na wengineo wengi walio ndani na nje, wenye elimu zao, exposure zao na akili zao. It will need mapinduzi ya fikra na pia akili nzuri sana on how to educate watanzania maskini kuhusu haki zao za kimsingi katika elimu, afya, ajira n.k.

Hatua ikienda kuwa mbaya sana na ccm isipokuja na solution, nchi yetu inaweza ingia kwenye vita mbaya sana, mungu atuepushe kwa hili. Hivi vita havitakuwa vya kidini bali vya kisiasa - kati ya wana ccm na upinzani wa kweli utakaotokea. Na kawaida vita huwa vinaleta madhara makubwa kwa uchumi na jamii kwa ujumla lakini vikiisha huwa vinapeleka nchi kwenda kwenye maendeleo ya kweli. Kunakuwa na kuheshimiana na kuogopa kula mali ya nchi since ile dhana ya kupigania nchi inakuwa imeshajijenga. Angola, Rwanda, Msumbiji ni nchi zinazokuwa kwa kasi sana. Annual GDP growth zao hawa ni 8-9% a year. Hata marekani, uingereza etc walipitia such a phase na in the end kikaja to set the tone ya good governance. Wote hawa wanatuacha hawa huku sisi tunaangaika kutafuta majina ya wala rushwa.
 
Kwa mfano kilichompandisha juu Mrema na Sasa Kabwe Zuberi ni hizo hizo contemporary issues!!!

....

Defition ya strategy ni hii hapa!

.....The word derives from the Greek word stratēgos, which derives from two words: stratos (army) and ago (ancient Greek for leading). Stratēgos referred to a 'military commander' during the age of Athenian Democracy.

ooh gi'me a break.....

issue ya mikataba ya madini ambayo serikali imesema wazi kuwa ni ya siri na wananchi hawaruhusiwi kuisoma ni contemporary?... umeanzisha definition yako ya neno contemporary? kwanini usitumie the same source uliko-copy definition ya strategy kudefine contemporary?

Issue hapa ni kwamba Kikwete ametajwa kuwa ni mla rusha.... na sasa hizo class zako za strategy zitawafaa ccm na Spin master wao Rostam Aziz kujifunza namna ya kuwatoa watu kwenye hii issue na kuwapeleka kuiblame CHADEMA kwa matatizo yao ya kila siku..
 
dawa ya CCM ni kuwashawishi wananchi waichukie kama wanavyomchukia Frederick Sumaye.
 
Mtanzania na Mchambuzi,

Muna hoja ambayo sio wengi wanaweza kuelewa lakini hoja kama hoja siku zote ni ngumu watu kuelewa,,, kinachoeleweka haraka sana ni UDAKU au Contemporary issues!!! Kwa mfano kilichompandisha juu Mrema na Sasa Kabwe Zuberi ni hizo hizo contemporary issues!!!

Nimewaelewa kitu kimoja tu na kinaongelewa sana kwenye business competition; What is differentiator btn CCM and CHADEMA or opposition, this is what you are trying to educate people, but they can not understand unless unatumia lugha lenye udaku udaku kidogo!

Lingine nimesoma btn the lines, ni kuwa na sustainable strategy, ambayo waweza ongelea kwenye uchaguzi wa 1995/2000/2006/2010/2015 etc.

Defition ya strategy ni hii hapa!

A strategy is a long term plan of action designed to achieve a particular goal, most often "winning". Strategy is differentiated from tactics or immediate actions with resources at hand by its nature of being extensively premeditated, and often practically rehearsed.
The word derives from the Greek word stratēgos, which derives from two words: stratos (army) and ago (ancient Greek for leading). Stratēgos referred to a 'military commander' during the age of Athenian Democracy.

Asante sana kilitime. You are one of the few wanao ona tatizo la msingi tanzania lipo wapi.
 
ooh gi'me a break.....

issue ya mikataba ya madini ambayo serikali imesema wazi kuwa ni ya siri na wananchi hawaruhusiwi kuisoma ni contemporary?... umeanzisha definition yako ya neno contemporary? kwanini usitumie the same source uliko-copy definition ya strategy kudefine contemporary?

coontemporary

adjective
1. characteristic of the present; "contemporary trends in design"; "the role of computers in modern-day medicine"
2. belonging to the present time; "contemporary leaders"
3. occurring in the same period of time; "a rise in interest rates is often contemporaneous with an increase in inflation"; "the composer Salieri was contemporary with Mozart" [syn: contemporaneous]
 
....

Tatizo ambalo tunalisahau ni kwamba Tanzania ni nchi ambayo haijapiganiwa toka kwa mkoloni. Mkoloni alitupa kwa amani na hii haikutokana na approach ya nyerere wala nani kupigania uhuru,

Bado unaendeleza kampeni zako za kum-discredit Nyerere(RIP)? Waoo.... hizi effort za mwizi na mkwepa kulipa kodi Lowasa za kutaka kuwa rais naona anazidi kuona kuwa hatafanikiwa bila ya kummaliza kabisa Nyerere(RIP).... yangu macho

kwa mtazamo wangu, ni bora hao kina mwandosya na wengine washikilie sababu ccm ukiondoa uchafu wa hapa na pale ni chama peke yake cha kweli...... Wanatuacha hawa wenzetu huku sisi tunaangaika kutafuta majina ya wala rushwa.

Tanzania ina watu zaidi ya Mwandosya na kashfa zake za wizara ya mawasiliano...... Haya majina ya wala rushwa ni stepu ya kwanza kwenye kile kinachofuata.... Wapinzani hawawezi kupokea Tricks za namna ya kufanya kazi yao toka kwako na/au bosi wako mwizi na mkoloni Rostam Azizi ambaye siku zake kwa sasa zinahesabiwa.
 
Kuna msemo usemao "amenyweshwa damu ya kijani" yawezekana Mchambuzi ni mmoja wao. nimejaribu kupitia taarifa ya Slaa kwa makini sana. Jambo moja ambalo limenifanya niamini na si kama udaku kama Mchambuzi anavyotaka kutushawishi, ni kwamba hivi inawezekanaje wewe kama kiongozi mwandamizi serikalini halafu ukawa mkurugenzi wa kampuni binafsi (inayodaiwa ni ya serikali kwa 100%) halafu unajiidhinishia malipo kutoka BOT (Serikali), halafu unasimama mbele ya waadishi wa habari unasema wewe ni Clean. This is stupid

Je Mchambuzi bado anataka tuamini kwamba bado serikali iliyopo kuna utawala Bora? Hivi Slaa kuanika madhambi ya Viongozi ambao mwanzoni tulisema tumepewa na Mungu ni Udaku? Nadhani alichofanya Slaa ni kuwaambia Watanzania kwamba mmdhanie siye kumbe ndiye sasa kazi kwenu.

Kwamba wanatakiwa kuja na sera za vyama vyao, hili sipingi, lakini ni mtanzania yupi, pengine wewe na wasomi wachache ndiyo mnaojua sera, wananchi vijijini ambao ndio wapiga kura wengi hawajui sera. ndio maana wakipewa sh 1000 ili waende kumpigia kura fulani wao wanaona deal kubwa. Lazima kama mwanasiasa unatakiwa ujue target ya wapiga kura ni nini. Kuwaambia wananchi kwamba yale maisha bora mliyoahidiwa yanacheleweshwa kutokana na rushwa kuna kosa gani hapo. kusema kwamba haya majina si mapya yamekuwa yakitajwa humu JF, ni watanzania wangapi wanasoma JF. Kikwete hakuchaguliwa kwa sera, alichaguliwa kwa sababu watu walimwamini kwamba ndiye mkombozi wao kutokana na udhalimu wa CCM wa muda mrefu na ajenda kubwa ikiwa ni kukisafisha Chama kutokana na ufisadi. kikwete alipata kura hata kutoka kwa wapinzani.

Suala la rushwa ni suala nyeti, na mtu yeyote anayependa maendeleo, lazima awe msitari wa mbele kupiga kelele juu ya rushwa. Mbona Nyerere pia alifoka kuhusu hilo? na hakuitwa Mdaku? kwa maana nyingine unataka kuwaambia wanasiasa hata kama wanajua uoza wa serikali wasiuseme kwa sababu itakuwa ni udaku?

Kazi ya Vyama vya siasa ni pamoja na kuikosoa serikali pale inapofanya vibaya, vivyo hivyo preasure groups. Je ulitaka haya wayaseme Preasure groups na sio vyama vya siasa?
Kama Slaa, Mrema na Kabwe wametupa mwanga, sasa kazi ni yetu sote kujua tufanye nini. kuhoji kwa nini wamewataja hata wale wapendwa wetu hii itakuja kujulikana baadaye baada ya sisi kuchambua Mchele ni upi na na pumba ni ipi. Kama kiongozi unaweza kuwaonea haya viongozi wa chini yako, basi kuna sababu mbili, Ama unashirikiana nao kwenye deal zao, au wewe ni kiongozi dhaifu. na kwa maana hiyo huwezi kuwa na sifa ya kuongoza nchi.
 
Nimependa maswali yako ambayo kwa kweli ndio msingi wa matatizo yote hapa nyumbani. Mtanzania , maskini in particular lazima aelimishwe kwamba maendeleo yoyote ya maana yatatokana na sera, sio kwa kutatuliwa scandals za hapa na pale. Isitoshe, wabunge wengi wakipita kwenye hayo majimbo yenye migodi wataishia tu kusifika kwa hao wapiga kura kwamba wamei challenge serikali, but then what?

Tatizo ambalo tunalisahau ni kwamba Tanzania ni nchi ambayo haijapiganiwa toka kwa mkoloni. Mkoloni alitupa kwa amani na hii haikutokana na approach ya nyerere wala nani kupigania uhuru, handing over kwa amani ilikuja based on circumstances za wakati ule za koloni la Tanganyika. At the end of the day, hakuna kiongozi au generation ya uongozi ambayo inaweza sema ina uchungu na nchi ya tanzania kwa kuipigania na kuipokonya toka kwenye makucha ya wakoloni. Ndio maana viongozi wengi wanatafuna na hawaogopi. Nchi kama zimbabwe, angola, msumbiji, south afrika haziwezi fikia hatua ya rushwa kama tanzania sababu kuna walio pigania hizi nchi na either generations zao zimekaa pembeni zikitazama au zipo madarakani in one way or another na wanafanya kazi kwa uangalifu mkubwa. Kenya ni same ila ukiangalia kwa makini, wakikuyu wanapewa all the opportunities na hii ni kwa sababu ndio waliopigana kwenye mau mau. Ukiwachezea hawa wakikuyu kwa kuweka viongozi wengine na waanze kula na kuharibu nchi, kenya itaenda kubaya. So ukila nchi kenya lazima uhakikishe wakikuyu na wao hawaachi nyuma.

Tanzania hatuna kiongozi mwenye uchungu na tanzania zaidi ya nyerere ambae ni marehemu tayari au wale wafuasi wachache wa nyerere ambao na wao hawakutumia nafasi zao kula nchi. lakini kuna baadhi yao ambao wamejimegea hapa na pale hivi karibuni kwa sababu kustaafu na dignity doesnt help your well being katika maisha ya kustaafu. At most utageuka kuwa kicheko tu as mheshimiwa mwenye suruali yenye vitobo kwenye makalio.

Nchi yetu tuliipata kwa bei ndogo sana. Wenye uchungu ni generations za sasa ambazo either - uchungu wao unatokana na kwamba wao hawajapata nafasi ya kula au uchungu wao unatokana na exposure yao ya kuona wengine wanavyoendesha nchi kwa principles nzuri za good governance, so they wonder why nchi yao inachezewa. Na katika kundi hili la pili, wakipewa nafasi ya kula watatulia. At the end of the day, wazalendo wa kweli wa Tanzania ni wa kuhesabu.

Tanzania haitaweza kombolewa na any of the politicans wa sasa. Katika kipindi hiki cha mpito, kwa mtazamo wangu, ni bora hao kina mwandosya na wengine washikilie sababu ccm ukiondoa uchafu wa hapa na pale ni chama peke yake cha kweli.
Mbeleni, watanzania watakaoweza ikomboa Tanzania ni vijana wengine wenye uchungu na Tanzania kwa mfano baadhi ya wa humu JF, na wengineo wengi walio ndani na nje, wenye elimu zao, exposure zao na akili zao. It will need mapinduzi ya fikra na pia akili nzuri sana on how to educate watanzania maskini kuhusu haki zao za kimsingi katika elimu, afya, ajira n.k.

Hatua ikienda kuwa mbaya sana na ccm isipokuja na solution, nchi yetu inaweza ingia kwenye vita mbaya sana, mungu atuepushe kwa hili. Hivi vita havitakuwa vya kidini bali vya kisiasa - kati ya wana ccm na upinzani wa kweli utakaotokea. Na kawaida vita huwa vinaleta madhara makubwa kwa uchumi na jamii kwa ujumla lakini vikiisha huwa vinapeleka nchi kwenda kwenye maendeleo ya kweli. Kunakuwa na kuheshimiana na kuogopa kula mali ya nchi since ile dhana ya kupigania nchi inakuwa imeshajijenga. Angola, Rwanda, Msumbiji ni nchi zinazokuwa kwa kasi sana. Annual GDP growth zao hawa ni 8-9% a year. Hata marekani, uingereza etc walipitia kipindi cha kama hiki ambacho in the end kikaja to set the tone ya good governance. Wote hawa wanatuacha hawa wenzetu huku sisi tunaangaika kutafuta majina ya wala rushwa.

This is the best thread I have read in a longtime and more or less answers my question 'What we/are you going to do about it'.

The issue here is about educating the people. Anyone who is willing to educate the people doesn't have a side (CCM, CHADEMA, CUF etc), and the onus is on them to bring the change. Since we view the opposition as the driving force that should bring change in Tanzania. There approach to bring this change, will show how mature they are politically. So far with all the loot at their disposal, they are failing the Tanzanians very much. If people are educated, change will come, like it or not.

The only other option is civil war. People are getting tired, people will get tired. That old song, sijui Tanzania is a peaceful country, Mchambuzi, you have deciphered it very well. No one in Tanzania, has pain for Tanzania. There are only 2 ways, make change through education/ballot or change by force. Lets not beat around the bush.

Thats why I asked, Mbowe, Zitto and crew are emancipating people for civil disobedience.........yes, but educate the people first. Educating the people will be the best legacy you can leave for Tanzania. Even if Mbowe or any of the opposition guys dont become president of Tanzania, their legacy will stay for generations. Thats what will make these guys great leaders. You dont have to be a president to be a great leader.

Mchambuzi, for that post, I salute you.
 
coontemporary

adjective
1. characteristic of the present; "contemporary trends in design"; "the role of computers in modern-day medicine"
2. belonging to the present time; "contemporary leaders"
3. occurring in the same period of time; "a rise in interest rates is often contemporaneous with an increase in inflation"; "the composer Salieri was contemporary with Mozart" [syn: contemporaneous]

Ok.... connect issues zilipolekea nchi kuwa maskini kutokana na sera mbovu, viongozi wachemfu, na vitendo vya serikali (kama mikataba ya madini ambayo mingi imeanza kusainiwa mwanzoni mwa miaka ya tisini hadi huu wa Buzwagi mwaka huu) ya CCM.. na hizi definitions zako za neno contemporary......
 
Je ni sahihi kusema kwamba sera ya chadema na upinzani kwa ujumla ni kutoboa siri za rushwa as a way to get ikulu in 2015? Kina kitine, warioba, mrema, mengi, mtikila mbona walishafanya haya na wamewasaidia nini maskini wa tanzania in the process? kwa watu wenye upeo mdogo wa kuelewa mambo watajibu kwamba kuna system fulani imewazuia.

Slaa atathubutu vipi kusema nilizibwa mdomo? Unazibwa mdomo kama unapayuka, lakini kama una operate in the context of sera na unajenga hoja ju ya hoja na kuja tolea mifano ya rushwa kama by the way tu, hutazibwa mdomo sababu hawatakuwa na jinsi.

Siasa za slaa na kabwe ni siasa za kitoto za kuchongea ccm kwa wananchi. They need to grow up kisiasa na kuja na mbinu ambayo hayo masuala ya rushwa yataingizwa kwenye something more comprehensive. Sio kuwaadaa tu wananchi huko mikoani na udaku.
 
Mkandara,

Mimi ni mwumini wa siasa za vijijini, wacha mfano wangu ulenge huko. Mapesa ya JK, yalitangazwa kwa muda mrefu na kila mmoja wetu alikuwa na nafasi ya kusaidia ili pesa ziwafikie walengwa. Mimi nilitegemea viongozi wa vyama vya siasa wangesaidia kuhakikisha hizo pesa zinawafikia wakulima na wanyonge kule vijijini. Hata mimi nilitamani ningelikuwa kule kwetu ili nisaidie kuwaandaa na kuwafundisha baadhi ya vijana ili wapate hizo pesa na ziwasaidie kwenye miradi yao. Bahati mbaya na mimi
nilishindwa kwasababu haikuwa rahisi kufanya hayo mambo ukiwa mbali.

Kwa vyama vyenye sera, hiyo ilikuwa nafasi mojawapo ya kujitengeneza kwa kuandaa mikakati ya kuwasaidia wananchi wenye sifa ili wapate hizo fedha.

Matokeo yake mafisadi wa CCM wakatumia hiyo nafasi kugawa hizo pesa kwa rushwa. Je vyama vingine vya siasa vilifanya nini katika kumsaidia rais juu ya hilo? Je kule kwenye majimbo ya vyama vya upinzani hizo pesa zimetumiaka vizuri kuliko maeneo mengine?

Tunailaumu serikali, kitu ambacho ni sawa maana ni wajibu wa serikali kutimiza ahadi zake lakini je sisi tunafanya nini?

Ndio maana hata mwenyewe nashindwa kulalamika juu ya mabilioni ya JK maana pale naamini nilikuwa na uwezo wa kusaidia lakini bahati mbaya sikuweza.

Ni rahisi kusema fulani ni mla rushwa lakini pia inatakiwa vyama vya siasa wawaeleze wananchi, je wao wakipata madaraka watafanya nini juu ya elimu, afya, umaskini nk. Nashangaa Zitto ambaye ni kijana msomi na ana uwezo anatumia muda wote huo kuongelea rushwa tu, bila kuelezea pia sera za vyama vyao. Mungemsaidia huyo kijana kwa kumpa nyenzo nzuri ili azifikishe kwa wanachi.

Bila hata ya kuwepo rushwa bado Watanzania tulikuwa maskini, effect ya rushwa kwenye uchumi ni ndogo kuliko effect ya ujinga. Ninaongelea rushwa ya ndani, rushwa ya kuhamisha pesa nje ya nchi ni tofauti na hii ni mbaya zaidi. Lakini rushwa ya ndani mara nyingi inakuwa haina madhara makubwa kwenye uchumi wa nchi, mfano mzuri ni Japan. Madhara yake yako kwenye baadhi ya wananchi kukosa haki yao halali.

pamoja na kupambana na rushwa lakini ni vizuri kuelezea tutafuta vipi ujinga, umaskini na maradhi kama kipindupindu na ukimwi ambayo yanatumaliza bila sababu.
 
Siasa za slaa na kabwe ni siasa za kitoto za kuchongea ccm kwa wananchi. They need to grow up kisiasa na kuja na mbinu ambayo hayo masuala ya rushwa yataingizwa kwenye something more comprehensive. Sio kuwaadaa tu wananchi huko mikoani na udaku.

In other words, waje na sera strategy nzuri ambazo CCM itachukua miongo kuziiga!!!! Hapa watakuwa wamelamba dume...

Unajua Tanzania bwana mareh... Mbunge wetu alipelekwa juu sana kwa kusema tu kwamba "kuna vijana nawaona pale kinondoni wanabwia unga lakini polisi hawafanyi kitu, polisi njooni niwapeleke"! Kwa hili akawa shujaa mkubwa kuwazidi akina keenja walioasisi mfumo wa kufanya mji wa Dar es Salaam at least pale city centre kuwa kusafi!


Message to waliosema na kuropoka as if hayo mambo hayakuwa yanasemwa hapa... ni kwamba bado they need to pull up their socks to show us how we can eradicate poverty!!!

Saying so doesn't mean tunasema wala rushwa wasibanwe tunasema wabanwe tena kwenye vyombo vya sheria sio kwenye viwanja Temeke Mwembe Yanga!
 
Je ni sahihi kusema kwamba sera ya chadema na upinzani kwa ujumla ni kutoboa siri za rushwa as a way to get ikulu in 2015? ....... Siasa za slaa na kabwe ni siasa za kitoto za kuchongea ccm kwa wananchi. They need to grow up kisiasa na kuja na mbinu ambayo hayo masuala ya rushwa yataingizwa....

CHADEMA watafanya vitu kwa different styles .... ila kitu kimoja una guarantee ni kwamba hawatatumia spin toka mwizi na mkoloni na kiongozi wa CCM Rostam Aziz kama weewe?

Utaziona za kitoto kwa sababu wananchi wakifahamu kuwa Kikwete anayewalaghaa kwa maneno tupu (wewe unayaita sera) ni mla rushwa kama Lowasa na wengine.... basi soon wewe utakosa ulaji na hutakuwa na kazi....

Kwa sasa CHADEMA can do whatever the heck they want na wala Rostam Aziz hawezi kuishauri CHADEMA namna ya kufanya kazi kupitia kwa msemaji wake (wewe mchambuzi).
 
Utaziona za kitoto kwa sababu wananchi wakifahamu kuwa Kikwete anayewalaghaa kwa maneno tupu (wewe unayaita sera) ni mla rushwa kama Lowasa na wengine.... basi soon wewe utakosa ulaji na hutakuwa na kazi....

Kwa sasa CHADEMA can do whatever the heck they want na wala Rostam Aziz hawezi kuishauri CHADEMA namna ya kufanya kazi kupitia kwa msemaji wake (wewe mchambuzi).

Kama CHADEMA,

Itakuwa na jaziba kama hizi na hoja za nguvu kama hizi du Tanzania tumekwisha!!!
 
Back
Top Bottom