WB Yaikopesha Tanzania Dola Milioni 50 za Kuimarisha Mifumo ya Manunuzi na Kuimarisha Makusanyo

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 126 au Dola Milioni 50 eti za Kuimarisha Makusanyo na mfumo wa Manunuzi wa Umma.
==
Katika taarifa hii, Benki ya Dunia imeidhinisha Dola za Marekani milioni 50 kwa ajili ya kusaidia Tanzania kuimarisha usimamizi wa mapato yake, kufanya taratibu za ununuzi wa umma kuwa za kisasa, na kuboresha ugawaji wa rasilimali pamoja na ufanisi wa ukaguzi. Kiasi hicho cha fedha, ambacho ni sawa na Sh bilioni 126.9 za Kitanzania, kinalenga kuendeleza mfumo mpya wa Usimamizi wa Fedha za Umma na Mifumo ya Ununuzi kwa Utoaji wa Huduma.

Programu hiyo inalenga kuongeza uwezo wa Tanzania Bara na Zanzibar katika kusimamia rasilimali za umma kwa kuzingatia uwazi, uwajibikaji, na ufanisi. Kwa kufanya hivyo, inatarajiwa kwamba huduma bora zaidi zitatolewa kwa wananchi wa Tanzania. Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Nathan Belete, ameeleza kuwa operesheni hiyo imeundwa kama programu ya matokeo (PforR) ambayo inahusisha malipo yanayotegemea utoaji wa matokeo mahususi ya programu.


My Take
Rais akinukuliwa akisema Serikali yake imekopa sana kwa.huduma za jamii Kwa kipindi Cha miaka 3 hii ila Sasa wanaenda kupunguza.

Swali.
1.Mbona Serikali inaendelea kukopa Kwa Ajili ya Huduma za jamii tena kulipana posho za training?

Ushauri:
-Tunaomba Serikali iache kukopa Kwa Ajili ya miradi isiyo na maana ya kulipana posho kama huu Mkopo wa Sasa.

-Pili Serikali ikipata Mkopo wa miradi wapunguze semina na mafunzo yasiyo na Tija.Mfano Kwa Sasa Kuna mradi wa Tactic na Rise lakini Kila mwezi ni semina na vikap visivyoisha Kwa miaka 2 Sasa.

Wanajifunza nini ambacho hakimalizikagi? Yaani 40% ya Mkopo inaishia kulipana posho.Hii sio sawa ,hakuna kitu kipya kinachofundishwa maana kama ni Barabara zitakojengwa ni zile zile za miaka yote.

Serikali itambue kwamba hatupendenzwi na swala hili Kwa sababu Mkopo tutalipa wote ila kula wanafaidi wachache.

Mwisho Serikali iendelee kukopa ila strictly Kwa Ajili ya miradi ya uchumi tuu.
 
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 126 au Dola Milioni 50 eti za Kuimarisha Makusanyo na mfumo wa Manunuzi wa Umma.

View: https://www.instagram.com/p/C45BrDCoiAM/?igsh=MWttYXowM240MjRkZA==

My Take
Rais akinukuliwa akisema Serikali yake imekopa sana kwa.huduma za jamii Kwa kipindi Cha miaka 3 hii ila Sasa wanaenda kupunguza.

View: https://www.instagram.com/p/C45BrDCoiAM/?igsh=MWttYXowM240MjRkZA==

Swali.
1.Mbona Serikali inaendelea kukopa Kwa Ajili ya Huduma za jamii tena kulipana posho za training?

Ushauri:
-Tunaomba Serikali iache kukopa Kwa Ajili ya miradi isiyo na maana ya kulipana posho kama huu Mkopo wa Sasa.

-Pili Serikali ikipata Mkopo wa miradi wapunguze semina na mafunzo yasiyo na Tija.Mfano Kwa Sasa Kuna mradi wa Tactic na Rise lakini Kila mwezi ni semina na vikap visivyoisha Kwa miaka 2 Sasa.

Wanajifunza nini ambacho hakimalizikagi? Yaani 40% ya Mkopo inaishia kulipana posho.Hii sio sawa ,hakuna kitu kipya kinachofundishwa maana kama ni Barabara zitakojengwa ni zile zile za miaka yote.

Serikali itambue kwamba hatupendenzwi na swala hili Kwa sababu Mkopo tutalipa wote ila kula wanafaidi wachache.

Mwisho Serikali iendelee kukopa ila strictly Kwa Ajili ya miradi ya uchumi tuu.

Aise serikali isipopunguza safari za nje kama magufuli na kupunguza ufisadi hata wakope vipi ni kazi bure
 
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 126 au Dola Milioni 50 eti za Kuimarisha Makusanyo na mfumo wa Manunuzi wa Umma.

View: https://www.instagram.com/p/C45BrDCoiAM/?igsh=MWttYXowM240MjRkZA==

My Take
Rais akinukuliwa akisema Serikali yake imekopa sana kwa.huduma za jamii Kwa kipindi Cha miaka 3 hii ila Sasa wanaenda kupunguza.

View: https://www.instagram.com/p/C45BrDCoiAM/?igsh=MWttYXowM240MjRkZA==

Swali.
1.Mbona Serikali inaendelea kukopa Kwa Ajili ya Huduma za jamii tena kulipana posho za training?

Ushauri:
-Tunaomba Serikali iache kukopa Kwa Ajili ya miradi isiyo na maana ya kulipana posho kama huu Mkopo wa Sasa.

-Pili Serikali ikipata Mkopo wa miradi wapunguze semina na mafunzo yasiyo na Tija.Mfano Kwa Sasa Kuna mradi wa Tactic na Rise lakini Kila mwezi ni semina na vikap visivyoisha Kwa miaka 2 Sasa.

Wanajifunza nini ambacho hakimalizikagi? Yaani 40% ya Mkopo inaishia kulipana posho.Hii sio sawa ,hakuna kitu kipya kinachofundishwa maana kama ni Barabara zitakojengwa ni zile zile za miaka yote.

Serikali itambue kwamba hatupendenzwi na swala hili Kwa sababu Mkopo tutalipa wote ila kula wanafaidi wachache.

Mwisho Serikali iendelee kukopa ila strictly Kwa Ajili ya miradi ya uchumi tuu.

Yaani serikali inakopa bilioni 126?hizi mbona hapa Ndani zinapatikana Kila cku na zinapotea hovyo.mkpo bil 126 halafu utajashangaa tunalipa bilion 50.kukopesha NI MOJA ya njia hatari ya kuendelea kumyonya muafrika.ni Mkakati mkubwa WA nchi za magaribi.mikopo inakopwa leo wanakuja kulipa wajukuu kwa riba ya ajabu.
 
Safari za Nje na mikopo vinahusianaje?
Mara nyingi serikali za africa zinakopa kwa kusema ni kwa miradi ya maendeleo ila zinatumiwa kwenye matumizi ya kawaida kama kulipana posho za safari za nje ambayo utakuta ni usd 1000 per day per person na wanaenda huko makundi kwa makundi kwa vitu sio vya msingi bali ni kuzifuja tu hela za serikali, mbona magufuli aliweza kwenye hili
 
Hio software itasaidia nini kama wasimamizi sio waadilifu? Kungekuwa na uzalendo wa kweli kuwepo kwa Takukuru imara tu kungefanya mabadiliko makubwa sana ya namna hii nchi inavyokwenda dhidi ya fedha za umma.

Takukuru imenyuti, Polisi ndio kama hivyo nao wanafata amri za wakubwa, mahakama ndio kabisaa.
 
Back
Top Bottom