Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,755
- 103,543
😂 Relax mrembo, usijipe umuhimu kwangu kama vile unanijua Mm n naniKwahiyo ww uko uraiani unajiona una umuhimu sana mwehu ww..
Lisu ni Legend!
😂 Relax mrembo, usijipe umuhimu kwangu kama vile unanijua Mm n naniKwahiyo ww uko uraiani unajiona una umuhimu sana mwehu ww..
Lisu ni Legend!
Ushindi kwangu kvp kwan mm ndo nmemuweka ndani?Kwahiyo kumuweka ndani kwa kesi za kubambika wewe unaona ni ushindi kwako. ?!
Kweli aisee Mwenye Haki haachwiMtu wa HAKI siku zote hulindwa na Mungu mwenyewe. Mungu humpa amani ya moyo, nafsi na akili bila kujali yuko ktk mazingira gani...
Ujasiri wake unafanana na wale vijana waliomjibu mfalme Nebukadresa kwamba hawezi kuabudu sanamu yake badala ya Mungu kama unataka kutuua tuue.Lisu Naye alimjibu Hakimu yeye si mtu wa kuomba hisani na hataomba kwa kosa ambalo hajafanya.Sasa utasemaje mtu kama huyo?Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.
Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?
Anachotetea ni haki yake maana haki hatendewi kama hilo hulioni basi ubasha kama huyu aliyevaa uccm.inaniuma sana maana mropokaji kiboko anasema amechoka kukaa korokoroni 🐒
Hilo ameliongea mbonahalafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch
hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
Ukiboko wa mtu hauji kwa sababu kila kitu kiko sawa. Bali hupimwa pale magumu yanapomfikia mtu na jinsi anavyokabiliana nayo.Chadema bhana 😂
Sasa kama angekuwa kiboko angekaa ndani 😂
Tlatlaah karudi?Anachotetea ni haki yake maana haki hatendewi kama hilo hulioni basi ubasha kama huyu aliyevaa uccm.View attachment 3407927
Mkuu usiangalie upayukaji na mihemko. Amepwaya sana kisheria. Wakili wa serikali anamburuza anavyotaka.Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.
Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?
Tundu lisu ana AKILI KUBWAUnakumbuka Braza Sabaya alikonda sana pamoja na kwamba alikuwa na uhakika wa Kesi yake kuisha. Kisaikolojia Tundu Lissu bado yuko 100% intact.
Kutoka wapi?Tlatlaah karudi?
Wewe ni yupi kati ya hawa?😂 Relax mrembo, usijipe umuhimu kwangu kama vile unanijua Mm n nani
Wewe bwana wewe. Hawa nao wanaishi ULAYA KWA MABEBERUWewe ni yupi kati ya hawa?View attachment 3407966
ChaguaWewe ni yupi kati ya hawa?View attachment 3407966
Mtu ameshachanganyikiwa anafanya mambo ya kitoto mahakamani, tatizo we uwezo wako ni mdogo sana ni sawa tu na zombie. Ukiona mtu anagombana mpk na maaskari ujue kwisha habari yake ana matatizo ya afya ya akili. Amejikaza tu hasa mbele za watu anapenda sana sifa. Umeshawahi kumwona mke wake mahakamani ameshaolewa Ulaya kamtelekeza gerezani, na bd unafikiri ni mzima? We nawe una matatizo ya afya ya akili.Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.
Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?
Kwa hiyo ni mzuka?How can you even fight a dead man and win the battle?
Tindu Lisu is no more exisiting physically, he is just here spiritually and it is obvious no living human can defeat a mere spiritual being.
CCM wataangaika sana na Lisu lakin hakuna jipya watakalo achieve zaidi ya kupoteza tu rasilimali, maana wana deal na mtu asiyeogopa kitu chochote ikiwemo kifo.
Yakikuta weye kama haya ushavua nguo zamaniMtu ameshachanganyikiwa anafanya mambo ya kitoto mahakamani, tatizo we uwezo wako ni mdogo sana ni sawa tu na zombie. Ukiona mtu anagombana mpk na maaskari ujue kwisha habari yake ana matatizo ya afya ya akili. Amejikaza tu hasa mbele za watu anapenda sana sifa. Umeshawahi kumwona mke wake mahakamani ameshaolewa Ulaya kamtelekeza gerezani, na bd unafikiri ni mzima? We nawe una matatizo ya afya ya akili.
Waislamu gani hao waliokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru? Hebu wawataje hata kwa majina.Tangulini muislamu akawa mzalendo...niliwai kumkimbiza hapa jf muislamu mmoja aliyeleta porojo kuwa waislamu wa tz ndiyo walikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru ...jambo ambalo siyo kweli hata kwa asilimia 8% kunatofauti ya kupigania uhuru na kukaa vijiweni kunywa kahawa mkijidai wapigania uhuru.