Lissu ni kiboko kubali au kataa

Lissu ni kiboko kubali au kataa

Waislamu gani hao waliokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru? Hebu wawataje hata kwa majina.
Hakuna hata mmoja ...usipokuwa na akili waislamu huwa ni waongo sana ...hata kwenye hili la uhuru wanadai ni juhudi zao ...wakati mchango wao kwenye kupigania uhuru haufiki hata asilimia 12%
 
Mniamini. Pamoja na mateso anayopitia siku moja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Hakuna hata mmoja ...usipokuwa na akili waislamu huwa ni waongo sana ...hata kwenye hili la uhuru wanadai ni juhudi zao ...wakati mchango wao kwenye kupigania uhuru haufiki hata asilimia 12%
Au labda walivyomchangia Nyerere hela ya nauli kufanya mizunguko yake hasa alivyokuwa anaenda Tabora basi ndio wanajiona walikuwa mstari wa mbele kudai uhuru?
 
Au labda walivyomchangia Nyerere hela ya nauli kufanya mizunguko yake hasa alivyokuwa anaenda Tabora basi ndio wanajiona walikuwa mstari wa mbele kudai uhuru?
Wajinga sana wao hata wakikupa ugali wanadai wamepigania uhuru ...nyerere alichangiwa mikoa mbali mbali na kupatiwa chakula nk kote aliko kwenda hadi makanisani alilala
 
Lissu ameonja mfano wa kuwa mauti.
Sasa haogopi tena kifo.
Sasa ni mtu anaeishi kwa kufuata maono (vision). Ameshajua kusudi(purpose) la yeye kuwepo duniani.
Anaona hana cha kupoteza ikiwa atakufa akiwa anatekeleza kusudi la yeye kuwepo duniani.
 
Hizi kesi ni kama Tundu Lissu kaPewa uwanja wa wazi kabisa kuonyesha uwezo mkubwa alio nao, na hadi sasa hajaoteza hiyo fursa ya kuwaonyesha waTanzania alivyo tofauti sana na hawa viongozi uchwara tulio nao sasa.

Ni hivi, kama bado huelewi ninachoelezea: Weka Bunge la yule Binti nani yule (Fito); liambanishe Bunge hilo la michango ya akina Msukuma Kashetu na Kesi mahakamani anayo jitetea mwenyewe Tundu Lissu. Waachie watu wachague ni wai a kuangalia bila ya shurti!
Hata akina 'the Babtist'; akina 'Mayala Njaa', najuwa watakapokwenda. Na bado sijazungumzia ya yule Binti wa Kizimkazi na hotuba zake!
 
Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.

Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.

Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.

Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.

Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?
NO REFORMS, NO ELECTION.
 
afanyeje? mshauri. mimi namshauri ajiunge na CCM , Haya yote yataondoka, akikosa huko aende Chauma , mambo yatakuwa amzuri
Anataka mambo yawe manzuri Kwa watanzania siyo kwake na familia yake tu.
 
halafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch

hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
Du, usikute unmzungumzia Lissu mwingine sio huyu anae hojiwa live; eti Lissu anaomba sympathy? Lissu huyu huyu w Kisutu?
 
halafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch

hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
Mbona alijibu palepale Tena kibabe

Alisema

"Sihitaji Huruma,Siombi Huruma na Sitoomba Huruma"

Unanata aswich vipi wakati alichokua anakisema kina ukweli kuhusu kesi yake kulichafua taifa

Nachokushauri sikiliza hoja za mawakili wote acha kuchagua upande
 
Back
Top Bottom