Lissu ni kiboko kubali au kataa

Lissu ni kiboko kubali au kataa

Sawa sawa ndugu mzubaishaji.
Siungi mkono Uonevu wowote ila Lisu hawezi kuwa Rais wa Nchi hii labda kuwa waziri wa Sheria.
Kwa sababu ipi? Kisa hayuko sisiem? Au ni kipi ambacho Samia anacho na lisu anakikosa?
 
Hatakama inakuuma ila ukweli ndio huo uliosemwa. Hamna uwezo wa kushindana na Lissu bila ya hizo ngonjera zenu za kutaka kumhujumu.
inaniuma sana maana mropokaji kiboko anasema amechoka kukaa korokoroni 🐒
 
Sina uhakika ni na nilichokielewa, Rais wa Chama Cha Wanasheria au Rais wa Nchi ?? Lisu naweza kumfananisha na Ruto, Ruto naye enzi za Uhuru Kenyatta Alikuwa ni msumbufu navmkosoaji mkubwa. Awamu yake imefika shida zimekua ni nyingi kuliko uhalisia. Kujenga makanisa ya Ikuru kwa Mabilioni ya Fedha za Walipa Kodi. Afadhari huku kwetu, Mabilioni yanatumika kukamilisha miradibya kimkakati na kwa ufupi....Aliyofanya mama ni mengi sana ila kwa sababu ni wapinzani hawakosi la kukosoa.
Huyu ni Rais ajaye jaman
 
halafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch

hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
Alishajibu atafuti huruma
 
Ameshitakiwa katika mashitaka ya uhaini, ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.

Hajatetemeka, wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika, na maarifa yake yanaongezeka zaidi.

Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.

Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamini hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari.

Mtu ambaye asiyekubali ujasiri wa Tundu Lissu, huyo akapimwe, ajitafakari, na ajipime anaishi katika sayari gani?

Taabu ya binti kiziwi na wapambe wake, husuda!
 
kiboko korokoroni right? dah

inasiktisha sana na inafedhehesha sana kwakweli 🐒
Kuna majitu kama haya hatutayaona jf miaka ijayo kwasababu uchawa wao utakuwa unefija ukingoni na muda umewadhalilisha.

Zinakuja nyakati ambazo wenye kiburi wote watakuwa kinyaa zaidi ya mavi
 
Unakumbuka Braza Sabaya alikonda sana pamoja na kwamba alikuwa na uhakika wa Kesi yake kuisha. Kisaikolojia Tundu Lissu bado yuko 100% intact.
Ole Lengai Sabaya yeye alikuwa ni mkosaji, mwenye hatia 100% lakini mwenye moyo mgumu wa kutubu. Kwa mtu mwenye shida hii, obviously dhambi na makosa yake ndiyo yatakayo haribu afya ya mwili na akili zake...

This is contrary kwa Tundu Lissu. Huyu mtu hana kosa, hana hatia yoyote. Anaonewa na kunyanyaswa tu na wenye hatia na wenye makosa na dhambi zao...

Mtu wa HAKI siku zote hulindwa na Mungu mwenyewe. Mungu humpa amani ya moyo, nafsi na akili bila kujali yuko ktk mazingira gani...

Wanaoteseka ni hao wanaofikiri wanamtesa kumbe wanajitesa...
 
SABAYA alikua hana back up ya jamii pia hana taaluma ya uwakili na alikua haungwi mkono na mabeberu
Sabaya alikuwa ni mbuzi wa bwana heri shambani kwa bwana heri kwa hiyo hakuwa na sababu ya kuwa na hofu lakini bado hakuwa stable
Mpeni lisu mauwa tu yake
 
Kuna majitu kama haya hatutayaona jf miaka ijayo kwasababu uchawa wao utakuwa unefija ukingoni na muda umewadhalilisha.

Zinakuja nyakati ambazo wenye kiburi wote watakuwa kinyaa zaidi ya mavi
mihemko humfanya mdau mshupaza shingo wa JF kuweweseka na kujikuta anaropoka nonsense tupu, dah 🐒
 
Inatufundisha kuwa imara hata nyakati ngumu
Anyway sema huyu jamaa alishapita kwenye tanuru ya mauti ni ngumu kumlegeza huyu huenda hata akiachiwa akaandamana mwenyewe hii ndio inatisha sema OKTOBA TUNA✅
 
Back
Top Bottom