Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 36,228
- 60,548
Malaria bwanaafanyeje? mshauri. mimi namshauri ajiunge na CCM , Haya yote yataondoka, akikosa huko aende Chauma , mambo yatakuwa amzuri
Malaria bwanaafanyeje? mshauri. mimi namshauri ajiunge na CCM , Haya yote yataondoka, akikosa huko aende Chauma , mambo yatakuwa amzuri
Kama wewe ndio Lissu lingalikuja gari la maji taka kuja kusafisha mavi utayokunya mahakamani, familia yako wangalishindwa hata kuja kukuangalia kwa hurumahalafu kingine aache kuomba sympathy ya mahakama ili kesi yake ifutwe ajaribu kuswitch
hio ni weakness ambayo wakili wa jamuhuri jana nimeona akiitumia kumpiga nayo hivyo aitazame upya.
sasa mh.TAL asingetakiwa kuishinikiza mahakama kufuta kesi yake kisa inaangaliwa na UN...nkLissu hataki msamaha wa mtu anataka sheria ifatwe ili apigwr Kitanzi kwa haki.
Bora hata wewe umeongea ukweli. Mkiambiwa Tundu Lissu ni mpango wa Mungu huwa mnakataa.mtu ambae asiekubali ujaisriri wa Tundu lissu huyo akapimwe ajitafakari na ajipime anaishi katika syari gani?
- Ameshatakiwa katika mashitaka ya uhaini ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
- Hajatetemeka wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
- Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
- Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamni hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari
Acha dharau mkuuChadema bhana 😂
Sasa kama angekuwa kiboko angekaa ndani 😂
Kama wewe Sasa hivi umebakia shingo tu. Hii dunia ni dynamic, leo yeye kesho weweChadema bhana 😂
Sasa kama angekuwa kiboko angekaa ndani 😂
Hivi huwa una msimamo wa wazi kwenye hoja kubwa kama machawa Mwashambwa na Kinembe?Haya 🐼
Tangulini muislamu akawa mzalendo...niliwai kumkimbiza hapa jf muislamu mmoja aliyeleta porojo kuwa waislamu wa tz ndiyo walikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru ...jambo ambalo siyo kweli hata kwa asilimia 8% kunatofauti ya kupigania uhuru na kukaa vijiweni kunywa kahawa mkijidai wapigania uhuru.mtu ambae asiekubali ujaisriri wa Tundu lissu huyo akapimwe ajitafakari na ajipime anaishi katika syari gani?
- Ameshatakiwa katika mashitaka ya uhaini ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
- Hajatetemeka wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
- Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
- Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamni hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari
Hapo dharau iko wapi mkuu, mm nimejibu kutokana na aina ya madaAcha dharau mkuu
Ww mwnyw unajua kabisa kama angekuwa kiboko bc angekuwa uraiani muda huuKama wewe Sasa hivi umebakia shingo tu. Hii dunia ni dynamic, leo yeye kesho wewe
Umeingiza udini, lete hoja yako ktk thread nyengine. Muislam mtoto mchanga anaakili kuliko wewe mwenye Phd ya kufukuza ukimwiTangulinu muislamu akawa mzalendo...niliwai kumkimbiza hapa jf muislamu mmoja aliyeleta porojo kuwa waislamu wa tz ndiyo walikuwa mstari wa mbele kupigania uhuru ...jambo ambalo siyo kweli hata kwa asilimia 8% kunatofauti ya kuoigania uhuru na kukaa vijiweni kunywa kahawa mkijidai wapigania uhuru.
Ujasiri wako unapimwa wakati wa matatizokiboko korokoroni right? dah
inasiktisha sana na inafedhehesha sana kwakweli 🐒
Kwa Sasa Umerudi Kundini.mtu ambae asiekubali ujaisriri wa Tundu lissu huyo akapimwe ajitafakari na ajipime anaishi katika syari gani?
- Ameshatakiwa katika mashitaka ya uhaini ambayo ni makubwa, lakini anajitetea mwenyewe na kutoa hoja nzito za kisheria, kiasi kwamba jaji na mawakili wa serikali wanashangaa na kumkubali.
- Hajatetemeka wala hana presha, licha ya kuwekwa katika selo la watu wanaosubiri kunyongwa — jambo ambalo kwa kawaida mtu yeyote angepata msongo wa mawazo, kushindwa kusimama mahakamani, au hata kuanguka kwa presha. Hata hivyo, Lissu anaonekana akili zake zinaimarika na maarifa yake yanaongezeka zaidi.
- Anajitetea mwenyewe bila woga, bila panic, wala kulia — jambo ambalo ni vigumu kwa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote kuwa na ujasiri huo.
- Kama mimi ningeshitakiwa kwa makosa hayo, ningeweza kujinyonyesha, kutetemeka, na pengine hivi sasa ningekuwa marehemu — Allah aiepushe. Naamni hata wanasiasa wengine, kama wangepata mtihani kama ule, wangepata matatizo makubwa; zamani mashati yote aliyokuwa nayo yalikuwa makubwa, nywele zake zilishanongeka, na alikuwa na presha na kisukari
Yesu alisema Kweli itawaweka Huru nanyi mtakuwa Huru Kweli kweli 🙏Hivi huwa una msimamo wa wazi kwenye hoja kubwa kama machawa Mwashambwa na Kinembe?
Hooo waislamu walipigania uhuru 😁 uongo mtupu ...waislamu wangekuwa kweli wana nia ya kupigania uhuru nakuakikishia wasinge mkubali nyerere ila walijua hato weza hivyo walikuwa wanamtumia kama chambo ...kumbe nyerere alikuwa smart alijua vyema ilo jambo hivyo alikubali kutumika kama chambo mara pa ! Waislamu wakashangaa jamaa anatoboa wakaanza majungu kudai mkoloni anamwachia nchi atatesa waislamu? Watz tushukuru sana rais wetu wa kwanza kutokuwa muislamu...maana vinginevyo tungepata hasara kubwa kuliko tuliyonayo sasa ...waislamu wanapata mwanya wa kufanyoa upumbavu nchi kwa sababu wakristo wanawachekea nilisha sema waislamu wa hesabiwe kama wanawake yaani wasiruhusiwe kamwe kuwa viongozi ...mimi ningekuwa rais muislamu asinge pata uongozi popote kwa maslai ya taifa na kwa maslai ya waislamu wenyewe ...kuwapauongozi waislamu ni kulingamiza taifaUmeingiza udini, lete hoja yako ktk thread nyengine. Muislam mtoto mchanga anaakili kuliko wewe mwenye Phd ya kufukuza ukimwi
Acha unafiki wewe ni mwanamke ,, huwezi kua wa Kawaida uwe na Kesi ya UHAINI, na bado ujitete ukiwa comfortable kabisaa.He's very normal person, sema ni disminder