Uchaguzi 2020 Lissu hana uchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili

Wacha kuandika UPUMBAVU wewe!

Huyu ndiye Lissu Mzalendo anayepigania maslahi ya Tanzania na Watanzania

Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Nawasihi ndugu zangu wa Tanganyika, tuhakikishe tunampa kura zetu ndugu yetu Magufuli.
Magufuli atatuhakikishia ndani ya miaka kumi ijayo ya utawala wake , nchi yetu inatoa misaada kwa mataifa ya Ulaya.
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Faru john alienda wapi?
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Acheni upuuzi wenu msitufanye wajinga
 
NIKIKUMBUKA HUYU JAMAA ALIVOPANDISHA MISHIPA YAKE KUWATETEA WAZUNGU WALE WEZI WA MADINI YETU. AKABWABWAJA ETI RAISI AKIGUSIA MIKATABA YA MADINI WAZUNGU WATATUNYOA NYWELE BILA MAJI. HALAFU LEO HUYU HUYU ANATULAZIMISHA TUMPE URAISI, KWELI????
Watu wa Lumumba hakuna mwenye akili ya kumwelewa Tundu Lissu kwa sababu wenye AKILI WOTE wanamfahamu Tundu Lissu alivyo mwimba kwa Wachimba Madini tangia akiwa LEAT awamu ya Mkapa!

Nyie wengine enzi hizo si ajabu mlikuwa vijijini, kwenu hata radio hamna ndo maana hamfahamu hata siku Polisi wa Mkapa walipovamia nyumba ya Tundu Lissu baada ya TL kusimama kidete kufuatia watu waliokuwa wamezikwa hai kwenye migodi!

Moja ya paragraph kutoka website ya protestbarrick.net inasema:-
In short, Barrick contends that the reports of burials were concocted after the fact by the Miners' Committee, specifically by Mallim Kadau, the committee chairman. Barrick's position is that those like Tundu Lissu who have put these claims forward are motivated by political opportunism. Lissu ran as an opposition candidate in the 1996 parliamentary elections. He had no connection to Bulyanhulu at the time. Furthermore, both Barrick and the Canadian High Commission accuse the Miners' Committee of attempting to extort money both from the small-scale miners and from Kahama.
Wakati Wapumbavu wa Lumumba mnasema TL anawatetea Barrick, ona Barrick hapo walivyokuwa wanam-brand TL!!

Mtandao wa refworld nao unaripoti:
At a magistrates' court hearing on 31st May 2002, the lawyers for the defence asked for the case to be transferred to the Supreme Court in order to examine whether Sections 31 and 32 of the Newspaper Act were compatible with the constitution. The case was transferred to the Supreme Court on 1st December 2002. However, although the magistrates' court is no longer competent in the matter, the accused continue to be regularly summoned to that court to hear the charges against them read out.

On 23rd December, Mr. Tundu Lissu was detained for 24 hours in an underground cell at the central police station in Dar Es Salaam.
2002 Annual Report kutoka mtandao wa The Observatory for the Protection of Human Rights Defenders / FIDH and OMCT
Human Rights Defenders, sehemu ya ripoti hiyo inasema:-
TL.png


Wakati Tundu Lissu anakumbana na hayo kwa kuwatetea Watanzania waliokuwa wamezikwa hai na Barrick, Magufuli na Misukule ya CCM yenyewe ilikuwa inagonga meza kuwatetea Barrick kwa kesi ambayo ni:-
TL01.png


Leo mmekuja mjini, na mmeweza kutumia smartphone mnaishia kuongea ujinga kwa sababu hamjui ni namna gani watu wamepambana na hao wezi kutoka Barrick for almost 20 years huku miaka yote wakitetewa na Viumbe wa Lumumba, huku wengine mkiteteana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu tu za kabila.
 
..TL ndio amekuwa akipambana na makampuni ya madini tangu yaanze kuingia hapa nchini.

..tunaujua mchango wa TL kutetea wananchi wa Rufiji delta, Bulyankhulu, Nzega, North Mara, Geita, Mtwara, Lindi, na kwingineko.

..wakati TL akitetea wananchi wa maeneo yote hayo Magufuli alikuwa akiunga mkono miswada ya sheria za madini na mikataba inayoumiza nchi.

..Na tangu ameingia madarakani Magufuli na serikali yake wamewasamehe Barrick deni la ukwepaji kodi la usd 191 billion. Badala yake wamekubali malipo ya kishika uchumba ya usd 300 million. Pia Magufuli ameruhusu makinikia yaendelee kusafirishwa nje ya nchi wakati alidai smelter lazima ijengwe hapa Tanzania.
Hayo yote aliyoyafanya Mh.Lissu wanayafahamu sana,wanafikiria Watanzania ni wajinga kupotisha ukweli.Mh.Lissu alianza kupinga udhalimu wa CCM enzi za kuvutia wawekezaji ambapo alipata misukosuko mingi sana na mwisho alishinda yote.Magufuli alikuwa CCM kindakindaki wakati huo hayo yakifanyika na hakuwahi kupinga.
Mh.Lissu ni Rais ajaye wa nchi hii na tunafahamu kuwa Haki itatamalaki hapa Tanzania na Maendeleo ya watu yatapatikana kwa kazi kubwa chini ya CDM.Twende na Lissu 2020-2025.
 
..TL ndio amekuwa akipambana na makampuni ya madini tangu yaanze kuingia hapa nchini.

..tunaujua mchango wa TL kutetea wananchi wa Rufiji delta, Bulyankhulu, Nzega, North Mara, Geita, Mtwara, Lindi, na kwingineko.

..wakati TL akitetea wananchi wa maeneo yote hayo Magufuli alikuwa akiunga mkono miswada ya sheria za madini na mikataba inayoumiza nchi.

..Na tangu ameingia madarakani Magufuli na serikali yake wamewasamehe Barrick deni la ukwepaji kodi la usd 191 billion. Badala yake wamekubali malipo ya kishika uchumba ya usd 300 million. Pia Magufuli ameruhusu makinikia yaendelee kusafirishwa nje ya nchi wakati alidai smelter lazima ijengwe hapa Tanzania.
Mkuu JK,

Amini usiamini Wafuasi wa Jiwe hakuna wanachojua!!!

Binafsi nimeanza kumfahamu Tundu Lissu kabla hata ya Mbowe!!! Nimeanza kumfahamu Tundu Lissu kabla ya anyone waliopo CHADEMA hivi sasa... nakumbuka wakati ule nikiwa a very young boy nilivyokuwa namu-admire TL na kujiuliza huyu jamaa "mbona haogopi"!!

Nakumbuka alivyokuwa anapambana na African Barrick Gold waliokuwa wanatetewa na ma-CCM ya serikali ya Mkapa!

Struggle za Tundu Lissu against African Barrick Gold zilibisha hodi hadi Canada, makao makuu ya African Barrick Gold!

Hawa mburula wa sasa, wengine enzi hizo walikuwa bado wapo kwenye matumbo ya mama zao na bado wavivu kusoma historia lakini hata wale waliokuwa wakubwa wengi walikuwa shamba huko na wala hawajui kilichokuwa kinaendelea mjini!!
 
Unamshambulia Lissu ndio maana hupewi maksi zozote kwenye uzi huu, jaribu kusoma alama za nyakati.
Anashambulia kwa point dhaifu, jamani kabla ya kuandika thread tuwe tunatuliza akili, vinginevyo subiri u comment kwa wengine(ushauri kwake)
 
I
Mkuu JK,

Amini usiamini Wafuasi wa Jiwe hakuna wanachojua!!!

Binafsi nimeanza kumfahamu Tundu Lissu kabla hata ya Mbowe!!! Nimeanza kumfahamu Tundu Lissu kabla ya anyone waliopo CHADEMA hivi sasa... nakumbuka wakati ule nikiwa a very young boy nilivyokuwa namu-admire TL na kujiuliza huyu jamaa "mbona haogopi"!!

Nakumbuka alivyokuwa anapambana na African Barrick Gold waliokuwa wanatetewa na ma-CCM ya serikali ya Mkapa!

Struggle za Tundu Lissu against African Barrick Gold zilibisha hodi hadi Canada, makao makuu ya African Barrick Gold!

Hawa mburula wa sasa, wengine enzi hizo walikuwa bado wapo kwenye matumbo ya mama zao na bado wavivu kusoma historia lakini hata wale waliokuwa wakubwa wengi walikuwa shamba huko na wala hawajui kilichokuwa kinaendelea mjini!!
I bow down for you...RESPECT.
Kabla mtu hajaandika kitu kuhusu Lissu,anapaswa kuwa na concrete facts na pia aelewe anachoandika.
Mtu akisema Lissu alitetea aporwaji wa dhahabu,unakuwa unajua tayari unaongea au unapewa hoja na mtu mwenye uhaba wa taarifa(less informed)
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Bila shaka shuleni ulisomea ujinga na upumbavu!
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Nilisikiaga hata ile ndege yetu mpya iliyokamatwa Canada yeye ndio aliye ichomea
 
Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.

Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.

Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.

Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.

Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.

Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.

Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.

Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.

Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.

Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.

Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.

Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.

Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).


Ni kweli Lissu hana uchungu na nchi hii , wenye uchungu ni hawa akina Marehemu Mkapa aliyechukuwa mashamba ya watu na kujimilikisha ekari 60 000 pamoja na Mwinyi aliyechukuwa mashamba ya watu akajimilikisha zaidi ya ekari 60 000 yeye na familia yake , pia huyu Magu fool aliyejijengea uwanja wa ndege wake kule Chato ili ndege yake ifike huko na akajiwekea mbuga na mahoteli yake kule Chato.
 
Back
Top Bottom