Tatizo la hawa jamaa bure kabisa!I
I bow down for you...RESPECT.
Kabla mtu hajaandika kitu kuhusu Lissu,anapaswa kuwa na concrete facts na pia aelewe anachoandika.
Mtu akisema Lissu alitetea aporwaji wa dhahabu,unakuwa unajua tayari unaongea au unapewa hoja na mtu mwenye uhaba wa taarifa(less informed)
Hapo Mleta Mada mpe changamoto aseme kwa undani Tundu Lissu alisema nini kuhusu sakata la makinikia, katu hawezi kukuambia kwa sababu majority kama sio wote wamekariri mstari unaosema "...wawekezaji wakileta mali zao kwako, halafu ukazichukua utapelekwa MIGA ukashughulikiwe.."
Yaani hawa jamaa kutokana na vichwa vyao kuwa na memory ndogo, wamekariri hiyo sehemu peke yake na alichosema TL baada ya hiyo sentensi, wameshakisahau!!!