Huyu namfananisha na Rais ambaye ni nazi, kwani nazi ukiiangalia nje inalangi nyeusi ukiipasua ndani ni nyeupe. Rais wetu mtarajiwa ni mweusi kwa nje ila ndani mawazo, fikra, utamaduni na hisia ni kuwa mzungu.
Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.
Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.
Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.
Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.
Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.
Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.
Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.
Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.
Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.
Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.
Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.
Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).
Mwanzoni alipatakusikika akimsema vibaya Magufuli kwa kupuuzia mikopo kutoka ulaya na Marekani, alimkejeri kwa kusema nchi yetu haiwezi kufanya chochote ni lazima tukope leo tumeingia ktk uchumi wa kati na tukiendelea hivi tutaachana na mikopo, ambayo inakuwaga na mashariti magumu mashariti mengine Lisu anayapenda na ni mtetezi wa hayo. Leo tunashuhudia kwa mara ya kwanza tangia kupata uhuru kumbe kuto kukopa inawezekana.
Lisu hanauchungu hata kidogo na rasilimali za taifa hili alisikika akitoa povu baada ya kukamatwa kwa mchanga wenye madini ukitaka kutoroshwa yeye alitoa povu, povu lilimtoka akisema wayaachilie hili wazungu wayachukue, huyu ndiyo Rais wetu mtarajiwa. Alikwenda mbali zaidi na kuchimba biti nzito kuwa kama Magu ataendelea kuyashikilia yale makinikia atapigwa kama Gadafi au Sadam Hussen. Huyu ni Tundu Lisu Rais wetu ajaye.
Afrika tumekuwa na utamaduni wa kujali chetu yaani vitu vyetu hatakama ni duni tumefundishwa kuviheshimu kwani ni vyetu lakini yeye alipokuwa Ulaya na Marekani alikuwa akitusi na kukashif mihundombinu yetu kama madaraja na barabara akitukuza za Ulaya na kusema zetu ni takataka.
Lisu amethubutu hata kumtukana aliyekuwa baba wa taifa hili ambapo sisi waafrika tumekuwa tunawaheshimu ansestaz wetu kama kudumisha mila lakini yeye alimshindilia mitusi na kashifa mtuaambaye yupo kaburini amelala hawezi kujibu, na alienda mbali zaidi na kusema wala hastahili kuwa baba wa taifa. Huyu ni Lisu rais wetu ajae.
Lisu amesikika mara kadhaa akikashif watu akiwemo Rais hajui kizungu, yaani Lisu anaamini kabisa kujua kizungu ni jambo la fahari sana kuliko lugha yako ya nyumbani. Je akienda Jamaika akisikia wanavyoonge kiingereza wale wabunge ambacho hawezi kuelewa atasemaji, je akimsikiliza Malema wa Afrika ya Kusini, Au akisikiliza bunge la Nigeria atasemaje. tujikwamue kutoka utumwa wa kiakili.
Wakati taifa la Tanzania likiwa linajulikana kama kisiwa cha amani duniani, lisu ni shahidi, kila taifa likipata matatizo wanakimbilia hapa, lakini Lisu anatafuta kila aina ya njia nchi hii iingie katika machafuko, mahubili yake ni maandamano, kuvunjifu wa sheria na kuhatarisha usalama.
Chadema imekosa laiti kandideti kabisa kwa mara ya pili mfulurizo kwa kumleta mzungu atutawale tena hilo ni kosa ambalo hata Mungu aliyesababisha Tanganyika na Zanziba awezi kukubali. Hakuna mtanzania mwenye akili timamu akakubari ujinga kama huu.
Hiki chama kikongwe kweli kimechoka sana tunajua, kinatakiwa kikapumzike ila si kwa kutolewa na mtu kama Lisu tuacheni utani Watanzania tuwe siriaz kidogo.
Nashindwa kuelewa kwanini CCM inaendelea kutawala na uzee wake wote maana hata katika animal kingidomu mnyama akizeeka anauliwa au kutolewa katika uongozi lakini leo CCM inamiaka 70 kama ni mtu basi hata meno hana hivyo CCM inatakiwa iondoke lakini si kwa kuleta midhaa kama kumweka Lisu, huu ni ujinga tutakaa sana na ndiyo maana huu unaitwa ulofa.
Mbona KANU iliondoka, ZDCP Zanbia kiliondoka, MCP Malawi kiliondoka, Leo mtoto wa mwasisi wa taifa la Kenya ni Rais kupitia chama cha upinzani yaani ni kama Makongolo Nyerere anakuwa Rais kupitia Chadema hiyo safi.
Kama wapinzani hawata acha mihemko na kutulia kutengeneza strategiki, kufanya kama walivyofanya Malawi Kwa Kamuzu Banda, Kenya, Zambia kwa Kaunda CCM itatawala milele na rushwa haita isha Tanzania. CCM imechakaa, hata Magu amekuja katika kizazi hiki anakamua katika mazingira magumu sana sema ninyi malofa hamjui tu. Huyu angekuwa katika chama kipya tungepaa zaidi ya hapa, leo hii ni rushwa, rushwa imekamata kwakuwa chama kimezeeka.
Nawasilisha Mr. Malafyale a.k.a Mla sadaka (mchugaji).