SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,445
Hivi Lipumba hana Familia au? Kama ana watoto bila shaka watakuwa na umri zaidi ya wangu inamaana wanae ni mbululaz hawawezi kumshauri mshua wao?
Familia yake ni wale 'nge' anaowatumia kufanya uhalifu pale buguruni