mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 12,163
- 8,935
Kwani siku hizi Mbowe yupo CCM?vile vile kwanini ccm wanachochea sana lipumba kurudi?
Kwani siku hizi Mbowe yupo CCM?vile vile kwanini ccm wanachochea sana lipumba kurudi?
kwenye chama chakeKwani siku hizi Mbowe yupo CCM?
alikuwikia marangapi?Anawika au katume salaam uone kama hawiki.
Huyo ndie anachochea vurugu CUF na sio CCM,kwa kipi na maslahi gani CCM wavuruge wanaocheza ligi ya mbuzi,wakati CCM wapo Premier banakwenye chama chake
Weka mijipicha mkuu , tushirikiane uhondo .mkuu tiririka na mafotoz,tuwaumbue 'wakumbatia mafisadi'
Huyo hatakuw mnyamwez atakuw mkonongoView attachment 417545 Professa Ibrahim Haruna Lipumba.mungu akupe maisha marefu tunakujua wewe ni shujaa baba, walimfukuza mzee wetu Mapalala ni wakati wa kutulipia kisasi, sisi wanyamwezi hatuna historia ya kushindwa, tokea enzi za isike na milambo.
Muombe akufungulie zipu utume salamu utapata jibu.alikuwikia marangapi?
mi mnyamwez ujue,we nifatefate tuWeka mijipicha mkuu , tushirikiane uhondo .
Soma historia ya wanyamwezi,wamanyema,"people of the moon"Huyo hatakuw mnyamwez atakuw mkonongo
heeee tumefika huko mkuu? ninachoamini magufuli aache wenzie wawe huru kufanya siasa eti kisingizio cha kufanya kazi! Nafikiri ndio tutajua nani yuko premier legue au laa!!Huyo ndie anachochea vurugu CUF na sio CCM,kwa kipi na maslahi gani CCM wavuruge wanaocheza ligi ya mbuzi,wakati CCM wapo Premier bana
Hii id ni yakinyamwezi tehe😀mi mnyamwez ujue,we nifatefate tu
Mi mwenyew mnyamwez na najua kabila zilizopo tabora.Moja wapo wakonongo ambao kijiji chao kimekuw pori.Mnyamwez maskini jeuriSoma historia ya wanyamwezi,wamanyema,"people of the moon"
Kadata huyuu babu sio bure duuuuuUongozi wa CUF wilaya ya Tanga umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu , baada ya kugomea mapokezi ya msaliti Lipumba , uongozi huo pia umeweka angalizo kwa wanachama wake kumuepuka lipumba mithili ya ugonjwa wa ukoma , na kwamba atakayeshiriki mapokezi ya Lipumba atavuliwa uanachama .
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa cuf wilaya , Mh Rashid Jumbe mbele ya waandishi wa habari , ambapo alikazia maamuzi halali ya Baraza kuu kwa kusema Lipumba alishafukuzwa uanachama .
Chanzo - Nipashe
MyTake - Usaliti ni laana mbaya mno !
Tanga...Tangamano....Msambweni.....Waja leo warudi leo. Natumai Propumba karudi leo leo...Siku tutasikia profesa kapigwa mawe , hii ni soo .
waulize wanawake wa kidigo na kizaramHii id ni yakinyamwezi tehe😀