Lipumba asuswa ziarani Tanga

Lipumba asuswa ziarani Tanga

Hii DOUBLE STANDARD sijui maana yake nini,Hivi kesho LOWASSA au MBOYE akitangaza atazunguka nchi nzima kufanya mikutano POLISI watakuja na kauli gani?Hebu waache UNYANYASAJI,kama ni sheria imewekwa hakuna mikutano basi isiwe ni kwa Kundi fulani tu.Hii Africa hii!!!!!
Mkuu utakua huoni vizuri,anachofanya lipumba sio mikutano ya siasa bali ni mikutano ya INJIRII, ndio maana police hawamzuii.na ukome kuleta uchochezi humu jf maana haiwezekani mtu afanye mikutano ya injirii wewe useme ni ya siasa.

Tutakutumbua tuu,sisi hatujalibiwiii
 
Wanaccm wanaweza vaa jezi zenu then wakampokea kwa bashasha muwe makin
Hii ilitokea mahakama kuu kwenye mgogoro wa Zitto , Kambaya aliprint fulana za cdm na kuwavisha mateja wa Temeke mikoroshini ili wafanye fujo , lakini tulimdhibiti kwa style ya TANGANYIKA JEKI .
 
Hii DOUBLE STANDARD sijui maana yake nini,Hivi kesho LOWASSA au MBOYE akitangaza atazunguka nchi nzima kufanya mikutano POLISI watakuja na kauli gani?Hebu waache UNYANYASAJI,kama ni sheria imewekwa hakuna mikutano basi isiwe ni kwa Kundi fulani tu.Hii Africa hii!!!!!
Hivi unajua maana ya terminology DOUBLE STANDARD Au umekariri?
 
Huyu mzee ningekua na uwezo angekula risasi mbili za kichwa.
Au ningekua na sniper ningemtugulia mbali tu.

Alafu sielewi hawa wanaohudhuria mikutano yake inamaana hawajui whats goin on??
 
Safiiiiii. Hongera wanaTanga na mpeni Matanga huyu msaliti.

Mikoa mingine ni lazima iige picha hiyo. Hongera tanaaaa.
 
Uongozi wa CUF wilaya ya Tanga umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu , baada ya kugomea mapokezi ya msaliti Lipumba , uongozi huo pia umeweka angalizo kwa wanachama wake kumuepuka lipumba mithili ya ugonjwa wa ukoma , na kwamba atakayeshiriki mapokezi ya Lipumba atavuliwa uanachama .

Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa cuf wilaya , Mh Rashid Jumbe mbele ya waandishi wa habari , ambapo alikazia maamuzi halali ya Baraza kuu kwa kusema Lipumba alishafukuzwa uanachama .

Chanzo - Nipashe

MyTake - Usaliti ni laana mbaya mno !
Msaliti wa mabadiliko ya kweli ni Mbowe. Kwa nini auze chama kwa Mafisadi wa ccm?
 
Safiiiiii. Hongera wanaTanga na mpeni Matanga huyu msaliti.

Mikoa mingine ni lazima iige picha hiyo. Hongera tanaaaa.
Niliona habari za saa kama saa 10 jion CLOUDS TV wakisema kule Mtwara wanachama wa CUF wamekana kumtambua Prof kama Mwenyekiti wao.
 
Tanga hatumtaki na tumepanga akitia maguh anapigwa mawe maybe aletwe na iskoti ya polisi akahutubie sisiemu wenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom