Lipumba asuswa ziarani Tanga

Lipumba asuswa ziarani Tanga

Hii DOUBLE STANDARD sijui maana yake nini,Hivi kesho LOWASSA au MBOYE akitangaza atazunguka nchi nzima kufanya mikutano POLISI watakuja na kauli gani?Hebu waache UNYANYASAJI,kama ni sheria imewekwa hakuna mikutano basi isiwe ni kwa Kundi fulani tu.Hii Africa hii!!!!!
Nadhani wameona lipumba ni Kama kachanganyikiwa hivi, sasa wanamuacha tuu.
 
Tanga wanatumika na UKAWA watajuta siku moja
Ukawa ndo nini? Nani alikuambia siasa INA majuto. Imani zetu ndo zinatupa nafasi ya kujuta na sio siasa. Kuna viongozi humu duniani ukiwauliza wanaongozaje hawajui na hulazimisha watu waamini kuwa wao ni viongozi kumbe ni wehu tu na tamaa zinawaongoza.
Mfano Kagame na Nkurunzinza je wao neno democracy ni ugonjwa hatari kwao. Wanaamini hakuna watu wenye akili na uwezo wa kuongoza kama wao.
Le me professo anaelewa achofanya? Kula matapishi yake ndo nini? Je yeye ndo mwenye akili kuliko wote? Je anajuta na kinachoendelea au anafurahi.??
 
Huyu mzee ningekua na uwezo angekula risasi mbili za kichwa.
Au ningekua na sniper ningemtugulia mbali tu.

Alafu sielewi hawa wanaohudhuria mikutano yake inamaana hawajui whats goin on??

Nyie Si mnachama chenu? Sasa ya CUF yanawahusu nini mpaka muweke chuki za kiwango hiki.
 
Uongozi wa CUF wilaya ya Tanga umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu , baada ya kugomea mapokezi ya msaliti Lipumba , uongozi huo pia umeweka angalizo kwa wanachama wake kumuepuka lipumba mithili ya ugonjwa wa ukoma , na kwamba atakayeshiriki mapokezi ya Lipumba atavuliwa uanachama .

Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa cuf wilaya , Mh Rashid Jumbe mbele ya waandishi wa habari , ambapo alikazia maamuzi halali ya Baraza kuu kwa kusema Lipumba alishafukuzwa uanachama .

Chanzo - Nipashe

MyTake - Usaliti ni laana mbaya mno !
Kinachonishangaza ni kwanini wana Chadema mnashadadia sana huu mgogoro wa CUF na kuacha ya kwenu?inaonyesha mnamuogopa Lipumba,pia inaonyesha Chadema mna ajenda zenu za siri juu ya CUF huku bara,Mwalafyale hebu kumbuka msemo wa ''Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime'' wakipatana utakuja aibika.Kamsaidie Dr Mashinjikuimarisha Chadema kwanza
 
1476334555853.jpg




Safi sana muongo na msaliti siku zote huwa hivi
 
Kinachonishangaza ni kwanini wana Chadema mnashadadia sana huu mgogoro wa CUF na kuacha ya kwenu?inaonyesha mnamuogopa Lipumba,pia inaonyesha Chadema mna ajenda zenu za siri juu ya CUF huku bara,Mwalafyale hebu kumbuka msemo wa ''Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime'' wakipatana utakuja aibika.Kamsaidie Dr Mashinjikuimarisha Chadema kwanza
vile vile kwanini ccm wanachochea sana lipumba kurudi?
 
Umejiunga na jf ili uje kumshambulia professa Ibrahim haruna lipumba.
Simshambulii bali anakishusha hadhi cheo chake MZEE YULE na watu wote wanajua kama anatumiliwa kufuruga ............................ Utamalizia wewe apo
 
Kinachonishangaza ni kwanini wana Chadema mnashadadia sana huu mgogoro wa CUF na kuacha ya kwenu?inaonyesha mnamuogopa Lipumba,pia inaonyesha Chadema mna ajenda zenu za siri juu ya CUF huku bara,Mwalafyale hebu kumbuka msemo wa ''Ndugu wakigombana chukua jembe ukalime'' wakipatana utakuja aibika.Kamsaidie Dr Mashinjikuimarisha Chadema kwanza
Mkuu misemo mingine imepitwa na wakati ndugu wakigombana ongeza fitina ili unayemtaka ashinde
 
Uongozi wa CUF wilaya ya Tanga umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu , baada ya kugomea mapokezi ya msaliti Lipumba , uongozi huo pia umeweka angalizo kwa wanachama wake kumuepuka lipumba mithili ya ugonjwa wa ukoma , na kwamba atakayeshiriki mapokezi ya Lipumba atavuliwa uanachama .

Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa cuf wilaya , Mh Rashid Jumbe mbele ya waandishi wa habari , ambapo alikazia maamuzi halali ya Baraza kuu kwa kusema Lipumba alishafukuzwa uanachama .

Chanzo - Nipashe

MyTake - Usaliti ni laana mbaya mno !
Siku hizi ana A.K.A Bwana Yule.....nadhani umetoka kwenye ule wimbo....''kumbe bwana yule hana kitanda wala shuka......''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom