whistle blower
Member
- Jan 5, 2011
- 84
- 5
Huyu mnyamwezi ni shida tupu
Awaokote wapi unafanya masihara na watoto hilo ni jambo ZITO linahitaji baraka za Allah huyo baraka hana ndo maana walimchagua atumike masisiemu yalichungulia yakaona ndo mahala pakeHivi Lipumba ana watoto kweli?
Kwahiyo "Bwana yule" na aliyewatimua wale walimu bila kuchunguza wamo?Wapo wengi sana
IGP yuko wapi sasa atupe ufafanuzi kama mikutano ya hadhara imeruhusiwa na watu wasiokuwa na majimbo ya uchaguzi kuzunguka kila mahali wakifanya mikutano. Vinginevyo na viongozi wa vyama vingine nao waitishe mikutano kama anavyofanya Lipumba na wapewe ulinzi pia
Nakihurumia hicho chuo kwa aibu kinayobebeshwa .Huyu jamaa amesoma stanford university huku US lakini hana lolote
Njaa haina baunsa .Hiyo poa sanaa. Asituharibie upinzani lofa huyu. Asurubiwe na aogopwe kama Ukoma.
Ninavyomchukia sasa hivi, basi tu. Naona hili jitu halijipendi. Tulipotezee tu.
Anzisha uzi wako,hapa ni Bwana yule tu!Msaliti wa mabadiliko ya kweli ni Mbowe. Kwa nini auze chama kwa Mafisadi wa ccm?
Tafuteni maneno mengine haya yamefeli!Msaliti wa mabadiliko ya kweli ni Mbowe. Kwa nini auze chama kwa Mafisadi wa ccm?
mkuu tiririka na mafotoz,tuwaumbue 'wakumbatia mafisadi'Mbona kapokewa vizuri tuu na wananchi wanachama wa cuf na wengineo
Mbona kapokewa vizuri tuu na wananchi wanachama wa cuf na wengineo
Anawika au katume salaam uone kama hawiki.aoe au awiki? Ukiwa na mke huwezi kosea saaana at least mnaenda Canada kupiga mapicha ka naniliu sio unalala ofisini
Mzigo mzito mpe Mnyamwezi ajitwishe .View attachment 417545 Professa Ibrahim Haruna Lipumba.mungu akupe maisha marefu tunakujua wewe ni shujaa baba, walimfukuza mzee wetu Mapalala ni wakati wa kutulipia kisasi, sisi wanyamwezi hatuna historia ya kushindwa, tokea enzi za isike na milambo.
Heh heee huo msemo ndio nausikia leo,na ''wakipatana utapata aibu''wimbo Mama Kabibi acha uongoo''wimbo wa King Kiki miaka ileeee akiwa OSS.Mkuu misemo mingine imepitwa na wakati ndugu wakigombana ongeza fitina ili unayemtaka ashinde
Wanyamwezi ni mashujaa waulize waarabu kilichowakuta kule matobholwa, achana na walugaluga weye.sembuse hawa wapemba.Mzigo mzito mpe Mnyamwezi ajitwishe .
Mwaka huu wanaye Professor,mzigo mpe MnyamweziView attachment 417545 Professa Ibrahim Haruna Lipumba.mungu akupe maisha marefu tunakujua wewe ni shujaa baba, walimfukuza mzee wetu Mapalala ni wakati wa kutulipia kisasi, sisi wanyamwezi hatuna historia ya kushindwa, tokea enzi za isike na milambo.