Lipumba asuswa ziarani Tanga

Lipumba asuswa ziarani Tanga

Msomi Lipumba is our greatest shame.Watanzania wezangu naomba samahani Lipumba siyo mwenzetu.
 
Wacha mi nisikomenti chochote uzi huu. Kimya kimya napita zangu.
Kukutana na KApumba tu sitaki, itakuwa LIpumba!
 
Hii DOUBLE STANDARD sijui maana yake nini,Hivi kesho LOWASSA au MBOYE akitangaza atazunguka nchi nzima kufanya mikutano POLISI watakuja na kauli gani?Hebu waache UNYANYASAJI,kama ni sheria imewekwa hakuna mikutano basi isiwe ni kwa Kundi fulani tu.Hii Africa hii!!!!!
Ni unyanyasaji hakuna sheria hapa.
 
Hivi unajua maana ya terminology DOUBLE STANDARD Au umekariri?
Sasa si useme we unayejua maana yake?By the way unaweza kueleza huu mwenendo kwa namna yoyote lakini ni mpuuzi tu atapanua mdomo wake kusema hapa hamna uminyaji wa wazi wa haki kwa kundi fulani.
 
106650613.jpg

Mkutano ulifana saana..chadema acheni propaganda.
 
Uongozi wa CUF wilaya ya Tanga umeonyesha ukakamavu wa hali ya juu , baada ya kugomea mapokezi ya msaliti Lipumba , uongozi huo pia umeweka angalizo kwa wanachama wake kumuepuka lipumba mithili ya ugonjwa wa ukoma , na kwamba atakayeshiriki mapokezi ya Lipumba atavuliwa uanachama .

Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa cuf wilaya , Mh Rashid Jumbe mbele ya waandishi wa habari , ambapo alikazia maamuzi halali ya Baraza kuu kwa kusema Lipumba alishafukuzwa uanachama .

Chanzo - Nipashe

MyTake - Usaliti ni laana mbaya mno !
ngoja tuone,manake tuliaminishwa baada ya wiki mwenye jengo pale buguruni analitaka,na nyuzi za lipumba mwaanzisha nyie tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom