Lindi: Askari afutwa kazi na Jeshi la Polisi kwa kumpiga risasi mwenzake wakiwa lindo

Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi ACP Mtatiro Kitinkwi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake

Askari wa jeshi la polisi aliyetambulika kwa jina la PC Joseph amemuua askari mwenzake Onesmo Joseph wakiwa kwenye kazi ya kulinda tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Kamanda wa polisi mkoani Lindi amesema askari hao walikuwa wakigombania pikipiki na tayari PC Joseph amefutwa kazi na atafikishwa mahakamni muda wowote kuanzia sasa.
Ipo siku huyu angemuua RPC,
 
Polisi kuuwana au kujiua kwa risasi hiyo kawaida yao. Ni madhambi yao ya kuwadhulumu na kuwabambikia watu kesi.
 
Ingekuwa Hamza, angeitwa gaidi!! Huyu siyo gaidi?
Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi ACP Mtatiro Kitinkwi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake

Askari wa jeshi la polisi aliyetambulika kwa jina la PC Joseph amemuua askari mwenzake Onesmo Joseph wakiwa kwenye kazi ya kulinda tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Kamanda wa polisi mkoani Lindi amesema askari hao walikuwa wakigombania pikipiki na tayari PC Joseph amefutwa kazi na atafikishwa mahakamni muda wowote kuanzia sasa.
 
roho mbaya tu inakupa stress.kuwa na utu hata kidogo,linapokuja Jambo la uhai wa mtu ,mkuu!!
Utu nyie mnao wakati mnawanapoteza watu kama sindano ya kushonea nguo? Mmewamaliza, mmebaki wenyewe kwa wenyewe. Kulaneni mamumiani nyie.
 
Niliwahi kukutana na askari polisi wakiwa doria na silaha zao za moto, nikawa rafiki yao na kuanza kupiga stori za maisha, wakaona nawafuatilia ghafla wakanichenjia, nikaona isiwe taabu wakanipiga risasi waje waseme tumeua jambazi lilitaka kutupokonya bunduki tukaliwahi, ukichukulia hao askari polisi walikuwa wamelewa pombe
Pole sana ila ulipona au ulikufa?
 
Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi ACP Mtatiro Kitinkwi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake

Askari wa jeshi la polisi aliyetambulika kwa jina la PC Joseph amemuua askari mwenzake Onesmo Joseph wakiwa kwenye kazi ya kulinda tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Kamanda wa polisi mkoani Lindi amesema askari hao walikuwa wakigombania pikipiki na tayari PC Joseph amefutwa kazi na atafikishwa mahakamni muda wowote kuanzia sasa.
Tukio hilo liliwahi kutokea arusha aliondoka na wenzake watano,kisa walipiga mande mbususu yake aliiacha mageto ya mabati
 
Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi ACP Mtatiro Kitinkwi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake

Askari wa jeshi la polisi aliyetambulika kwa jina la PC Joseph amemuua askari mwenzake Onesmo Joseph wakiwa kwenye kazi ya kulinda tawi la benki ya CRDB wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Kamanda wa polisi mkoani Lindi amesema askari hao walikuwa wakigombania pikipiki na tayari PC Joseph amefutwa kazi na atafikishwa mahakamni muda wowote kuanzia sasa.
Da!so sad,kijana mdogo kabisa wa juzi akiwa ni miongoni mwa wahitimu wa mafunzo ya JKT Bulombola Kigoma,sizan kma ana hata miaka 3 kazini,mwananchi mwenzangu wa hapa Muhambwe Kibondo kigma,..R.I.P
 
Back
Top Bottom