IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,462
- 7,381
Baada ya kubrash na kushona viatu kwa muda mrefu(toka jan........),..sasa nataka nipumzike kidogo.Kuanzia week ijayo ntakua dar then mby...Mungu akijaalia mpaka songea
My concern:...ningependa kukutana na wenyeji wa jf_hasa mby na songea....
nawasilisha wakuu
My concern:...ningependa kukutana na wenyeji wa jf_hasa mby na songea....
nawasilisha wakuu