Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,433
Magazeti mengine bwana. Sasa huyo Mama Salma Kikwete kulipia kodi mizigo yake bandarini ndiyo kuisoma namba? Kwa vile ni mke wa ex president ndiyo asilipe kodi? Au WAMA wana tax exemption? Sijaelewa ishu hapa ni nini na maana nzima ya dhana ya kuisoma namba. Naomba ufafanuzi please!