Lema: Mawakili msihangaike tena

Lema: Mawakili msihangaike tena

Vipi kama ndoto yake itatimia akiwa mahabusu?
Mungu anaweza yote.
 
Hata kama bado namwunga mkono rais, hili ni moja ya mambo ya kipuuzi kabisa yanayotokea 'under his watch'.
 
Hata kama bado namwunga mkono rais, hili ni moja ya mambo ya kipuuzi kabisa yanayotokea 'under his watch'.
Yaani anafanya siasa kila kitu alafu wengine kawaambia mpaka 2020
 
[QUOTE="kbosho, post: 18729460, member: 87556"frequencyini Kesi yake si ina Dhamana!?[/QUOTE]
Masharti ya dhamana hubadilika kutegemeana na frequency ya utendaji wako wa makosa.
 
Sio sir haya ni zaid ya mateso anayoyapitia Lema inshallah Mungu yupo naamin ipo siku atatoka
 
Lema alikuwa anapima kina cha serikali, alidhani yeye kuwa Mbuge basi yeye ni kila kitu, kudadadeki ngoja aisome namba
 
Jaman madicteta wanawafanyaje wapinzani wao kote duniani??

Kinachoenelea ndio tabia halisi ya madicteta. Na wengine tujiandae
 
5c79cef4b2ff1410c58e762a0a8a2c2d.jpg


Awaaga ndugu zake na familia yake na mtoto wake.

Asema hakuna haja ya kuangaika na kesi isiyosimamiwa na mahakama Bali inasimamiwa na dola .

Asema mawakili wapumzike mpaka dola litakapoamua kuachiwa kwake.

Fidel Castro alilkuwa ni mjamaa mwanamapinduzi halisi aliwaasa vijana kwa kutamka maneno haya "Vijana japo tumezungukwa na taifa lenye nguvu na lisilotutakia mema, tutaendelea kupambana dhidi ya uovu wao na chuki yao dhidi yetu, kwa unyonge wetu na nia njema yetu ya kuwaletea watu wetu mapinduzi ya kweli. Tikifa wacha tufe tutangulie mbele za haki mapema, tukawaambie wapenda haki na wanamapinduzi wenzetu kama Martin Luther Jr. kuwa tumewahi mapema safari yetu, kwa kuwa tumeponzwa na utafutaji wa haki na uhuru kamili wa watu wetu, kwa hivyo vijana wetu msitegemee kwamba maendeleo ya watu wetu yatakuja bila kuyatafuta kwa nguvu hata ikibidi kufa". Mungu ailaze roho ya Fidel Castro Mahala pema peponi
 
5c79cef4b2ff1410c58e762a0a8a2c2d.jpg


Awaaga ndugu zake na familia yake na mtoto wake.

Asema hakuna haja ya kuangaika na kesi isiyosimamiwa na mahakama Bali inasimamiwa na dola .

Asema mawakili wapumzike mpaka dola litakapoamua kuachiwa kwake.
Mwanasheria Alberto Msando kaandika; Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki. Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this. System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi. Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri. Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea? Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective. My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
 
Always nasema hapa serikali inafanya big big mistake kumuwek huyu jamaa ndani maana kama hawaoni basi watakuja kuona kama kweli au lah....maana kwa jinsi hali ilivyo sasa hivi hapo watu hawajafurahi kbisaa mahakama kufata sheria za mtu binafsi.....
mtu binafsi nani?
Acha upompopo wewe
Usipotoshe umma kwa masirahi yako sheria za nchi zipo wazi
 
5c79cef4b2ff1410c58e762a0a8a2c2d.jpg


Awaaga ndugu zake na familia yake na mtoto wake.

Asema hakuna haja ya kuangaika na kesi isiyosimamiwa na mahakama Bali inasimamiwa na dola .

Asema mawakili wapumzike mpaka dola litakapoamua kuachiwa kwake.
Funga jera kabisa huyo
Nyambafu zake....
eti pepepe...epe...pepe...!
midomo mirefu kama ya bata
 
Maneno mazito sana kwa magamba yanayopambana na mwili wakati hayana uwezo wa kupambana na roho.
 
Funga jera kabisa huyo
Nyambafu zake....
eti pepepe...epe...pepe...!
midomo mirefu kama ya bata
Kwendeni zenu huko,mnatumia kodi za wananchi kwa kutwanga maji ambayo hayatwangiki kwenye kinu wakati kodi hizo zingitumika kutatua matatizo lukuki yanayowakabiri wananchi.
 
suala hilo ni kukomoana tu,ila naye lema aache mambo ya kujibizana na dola,ni vema awe anajikita na kuwatumikia wana Arusha kikamilifu kuliko kila siku yeye kujipata na malumbano na viongozi wa ccm,kwani mbona hata baadhi ya wabunge wengine wa ukawa na chadema hawana haya matatizo anayopata lema?
Kuna wakati nilidhani ni mwansiasa nguli
Lakini juzi nilivyomsikia akitoa kauli za kijinga nilimdharau sana
Yaani kweli mtu unaongea hata haya huoni ?
Hivi kwenu hakuna wakubwa kweli?
Huyu jamaa ni bure kabisa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom