Hongera sana Lema...sasa tuijenge Arusha yetu..tuwapunguzie ya kusema ifikapo 2015, wakati wenyewe ndio wamechelewesha maendeleo kwa hizi harakati zao za uhuni-uhuni....!!
Nguvu ya umma......!!!!
Acha kutuletea source za kishirikina, hapa JF tunajitegemea hatuhitaji out source kwenye matukio kama haya, tunajitosheleza wenyewe.Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Godbless Lema amerudishiwa ubunge wake baada ya kushinda katika rufaa ya kesi yake ya kupinga matokeo iliyosomwa jijini Dar es Salaam leo.Source Lema ashinda rufaa - Siasa - mwananchi.co.tz
swali la msingi sana hili,wajuzi wa sheria za bunge watujuze tafadhali.!!!!!!
Mkuu unajua kanuni za bunge? tuambie kama Lema atalipwa mishahara yake akiwa honeymoon
"JMBO LA ARUSHA LINAINYIMA SERIKALI YANGU USINGIZI....HAPANA....HAPANA.. .LAZIMA TUFANYE KITU PALE....!!! "
![]()
Makamanda vipi leo JK ajaingilia hii kesi? Siku zote Rais wetu JK atabaki kuwa Rais makini mwenye kuheshimu uhuru wa mahakama.
Siku zote napenda kuheshimu maamuzi ya mahakama haki ni kipimo bora cha utawala wa JK.
Hongera Chadema hongera Lema.