Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Hukumu haikutoka Ikulu?
Kulikuwa na ile list ya Lissu na tuhuma kuteua baadhi ya majaji kinyume cha katiba ambazo zote bado ahzijajibiwa ipasavyo na Ikulu. Ikulu isingethubutu kutaka "kuandika" hukumu nyingine katika hili.
 
Warumi 3:27-31 "Ku wapi basi kujisifu? kumefungwa nje. kwa sheria ya namna gani? ........................ je! Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? siye Mungu wa mataifa pia; kama kwa kweli Mungu ni mmoja; atakayewahesabia haki wale waliotahiriwa katika imani nao wale wasiotahiriwa atawahesabia haki kwa njia ya imani iyo hiyo. Basi Je! Twaibatilisha sheria kwa imani hiyo? ............................"

.............."Mwaminini Mungu. Amen, nawaambia ye yote atakaye uambia mlima, huu `n`goka ukatupwe baharini; wala asione shaka moyoni mwake ; ila aamini hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake" (MK 11: 22, 23)

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kulikuwa na ile list ya Lissu na tuhuma kuteua baadhi ya majaji kinyume cha katiba ambazo zote bado ahzijajibiwa ipasavyo na Ikulu. Ikulu isingethubutu kutaka "kuandika" hukumu nyingine katika hili.

Does it mean hoja za Lissu juu ya majaji feki zimeathiri matokeo ya hukumu ya Lema?
 
tatizo kubwa la wapiga kura wa ccm ni hawajui kusoma wala kuandika na ndiyo maana hawajui mipaka yao ya kufungua kesi.wanachojua ni kupewakhanga na kofia za ccm na ndio mtaji mkubwa wa ccm kwa watu hawa.
Hawa watu hajui hospital hazina dawa, shule hazina walimu,rasilimali zinaibwa na hao ccm. Wanachojua tu ni kuwa tukimpia kura wa ccm ataleta khanga na kofia uchaguzi mwingine.

Hawa watu wangejua mwenye kesi mwenyewe alishakubali matokea, wenyewe wamepewa khanga na kofia tu basi wakashaurina tukafungue kesi ya pingamizi. Wanatupotezea muda mwingi mahakamani na wananchi wa arusha wamekosa mwakilishi kwa kipindi kilefu kwasababu ya ujinga wao. Wale wanatakiwa walipe fidia hata kwa wananchi wa jimbo la arusha. Serikali inapoteza hela nyingi sana kwa ajili ya wajinga wachahe ambao ccm haitaki kuwasomesha ili wajitambue na wajue haki zao.

mtaji mkubwa wa ccm ni umaskini na ujinga wa watanzania kama waliofungua pingamizi dhidi ya lema.
 
Nampongeza Lema maana ni jembe la Chadema ambaye haogopi juu ya maisha yake ktk kutetea haki za wanyonge na kuikomboa nchi ktk utumwa wa mafisadi na makada wa ccm.
 
Back
Top Bottom