Mbona muasisi Ben Saanane alishaenda mahakamani mapema tu.wana PM7 tuungane katika kushangilia ushindi wa kamanda Lema..."ukiona huwezi kushindana nao ungana nao"
kwa anayeipenda CHADEMA ataliunga mkono, vp kuhusu lile trekta? vp kile kiwanja kule kisongo kilichotolewa kwa ajili ya kujenga hospital? Tunataka na ile Machinga Complex ijengwe sasa.
PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEES!!!!![/QUOTE]
POWEREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!
yep tunaondoka kesho ila kwa mguu - vpi upo tayari? tunaiita safari ya ukombozi, njiani pia tutakuwa na kazi ya kufungua matawi as we move on.Naombeni mtujuze safari ya kwenda arusha
mkuu Ritz yupo, hao wengine sina uhakika.jaja jaja jaja jaja jaja Sijui hapa Nape atakuja na Taarabu gani tena!Saa 6 naanza kupata viroba na Safari hadi mwakani.Halafu hawa wakuu kina Ritz, Chama na Tutentemeke leo kimya!Poleni Magamba.