Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

hawa waliofungua kesi wafukuzwe Arusha na wapigwe ban ya kuingia mahali popote pale
 
leo tulikuwa tunavaa sare sare maua !

DSC00057.JPG


Huyu ndiye Vitalis Kimomogoro aliye simamia kesi mwanzo mwisho kwa upande wa Lema
 
There are currently 3011 users browsing this thread. (1217 members and 1794 guests

vurugu arusha zinarudi tena
 
There are currently 3023 users browsing this thread. (1219 members and 1804 guests)

Invisible na Maxcence Melo leo naombeni mtaongeza server. Ni saa nne tu, hadi jioni itakuwa the most viewed and commented post!!! Yaani kweli ni hatari!!! Ni fundisho!!!
 
Ukiangalia kwenye macho ya sheria unaona mwanga fulani wa Haki, Mwanga wenye matumaini kwa wananchi wake! Sijui ni kwa namna gani watu wanajaribu kuipindisha miale hii ya mwanga huu mzuri na kuitia MAKENGEZA ili hakii ionekane kuwa ni mbaya kwa watu wake.

Hongereni sana wale wote mlioiona hii nuru hata pale wale walipotaka kuwatia makengeza na kujaza ukungu machoni na mioyoni mwenu, mlisimama na kutafuta Miwani ile yenye kuona vizuri huo mwanga! Mkasimama mkasema HAPANA njia ni hii!

Si wengi walio upande wa pili wataweza kukubaliana nanyi ila iko siku watautambua ukweli! HAKI ITABAKIA KUWA HAKI HATA KAMA ITACHELEWESHWA!

Mungu uwabariki wote hata wale waliokuwa hawataki haya yatimie.
 
Kwa kauli za JK ina maana sasa ile mikutano mikubwa haitaenda tena Arusha kwa kuwa wakati Lema akiwa mbunge hapakuwa na amani? sasa karudi. inawezekana baba mwanaasha akayala matapishi yake.
 
Peoples power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!CCM hawawezi kushindana na nguvu ya umma
 
Hivi Kamanda Lema kurudishwa mjengoni ile hoja ya waziri mkuu Pinda kusema uongo itafufuliwa? Maana spika Makinda alisema kwa kuwa Lema alivuliwa ubunge basi hoja yake imekufa!

CCM wasikubali kushindwa wanaweza kufanya usiyotarajia!!
 
Hahahaaa masalia hii aibu mtazificha wapi nyuso zenu. Mlitamani sana lema ashindwe..mmeshindwa nyie vigagula
 
Hongera sana Lema...sasa tuijenge Arusha yetu..tuwapunguzie ya kusema ifikapo 2015, wakati wenyewe ndio wamechelewesha maendeleo kwa hizi harakati zao za uhuni-uhuni....!!

Nguvu ya umma......!!!!
 
Back
Top Bottom