mkuu nawe unafuatiliaa ata hili unalijua ngoja tusubiri mchakamchaka utakavowashwa!
Ficha upumbavu wako onyesha hekima yako.!vurugu kurejea arusha mda si mrefu
Mingoi yuko njema Mingoi yuko imara mikandamizo inaendelea,naona leo mmepata kwa kupumulia teh! teh !tehh!!! lakini kifo cha CDM kiko pale pale mgonjwa wa ICU kuomba chakula sio kwamba atapona.Breaking Nyuuz!
Mingoi Kalazwa Hospitali kwa Presha ya kushuka!