vurugu kurejea arusha mda si mrefu
Niko Arusha sasa tunaelekea ofisi za CDM Mkoa ntakujuzeni ratiba ya kumpokea Lema ikoje kifupi ni hivi ambao hamko Arusha mtapitwa mengi
vipi yule kiongozi mkuu wa masalia a.k.a nyepesi kaonyesha ushirikiano leo?
Vurugu ya kwanza itakuwa ni kuwaondoa wale akina mama wanaoteseka pale NMC , jua lao, mvua yao, tope lao, vumbi lao!vurugu kurejea arusha mda si mrefu
Ni aina ya mapozi tu,isikusumbue!kikubwa isije ikazaniwa alikuwa anaonyesha ishara ya tusi kwa magamba!Hii kitu inakuwaje kidole kina washa au?
![]()
Hongera sana Lema...sasa tuijenge Arusha yetu..tuwapunguzie ya kusema ifikapo 2015, wakati wenyewe ndio wamechelewesha maendeleo kwa hizi harakati zao za uhuni-uhuni....!!
Nguvu ya umma......!!!!
hahhahahahahah Magamba yote chali