Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
- Thread starter
- #141
Tuliwapinga makaburu siyo kwa sababu ya rangi yao, kabila lao au chama chao. Ubaya wao ulitokana na vitendo vyao dhidi ya raia weusi wa Afrika.
Ni wapumbavu wa kupindukia tu wanaoshabikia ukaburu katika nchi yetu Tanzania.
Wahusika wa kulipua mabomu Arusha washughulikiwe mmoja mmoja badala ya kutuhumu kundi au taasisi hata kama walitumwa! Hii itakuwa fundisho kwa wengine wenye mawazo kama yao.
Naitapendeza jambo hilo likafanyika ndani ya wakati sahii pasipo kulichelewesha wala kumpendelea mtu.