notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
wewe ni mpu.....mba....vuuu kuliko wooote duniani. hao wavuta bangi waliouwawa arusha utalinganisha na mabilioni yaliyofichwa kwa miongo mingi sana huko nje??Mkuu nakushauri rudi katika ufahamu wako, Hili swala la bomu la arusha ni swala la maisha ya watu yaliopotea bila sababu ya msingi, hivyo hupaswi kulifananisha au kulipeleka kisiasa kama mabilioni yaliofichwa Uswiss hili linatakiwa lipelekwe kimahakama ili muhusika apewe adhabu stahiki.
hivi unaweza kuniambia hayo mabilioni kama yakirudi yanaweza kuokoa maisha ya watoto wangapi hapa tz???? unajua hayo mabilioni yakirudi yanaweza kujenga shule na mahospitali mangapi .
mnakera nyie wajinga kwa kumtukuza BINGWA LA WAJINGA kupata kutokea katika siasa za tanzania..G.LEMA