Lema aibuka na 'bomu la Soweto' Bungeni

KIchwa cha Mende Lema anetaka apewe majina yay walioficha pesa ayataje wakati majina ya waliolipua bomu anayo ameshindwa kuyataja anuburi tume! CDM mmjilipowa wenyewe mstibabaishe na usanii wenu huo.

Division 5
 
Mkuu kiboko....punguza hasira. Waungwana hawana papara katika kauli na maandishi yao. Sitaki kuamini kuwa uwezo wako wa ufahamu uliopewa na Muumba umeishia hapo.[/QUOT

Mawaziri + Wabunge (ccm) + Mkuu wa Kaya = MIZIGO

Sasa hao misukule iliyobakia tuiitaje?
 
Katika Bunge linaloendelea hivi sasa Dodoma, Mb Lema katika kuwasilisha mchango wake kuhusu ripoti iliyowasilishwa bungeni juu ya wizara ya mambo ya ndani amesema

"Katika ripoti yote iliyoandikwa katika kitabu hiki sijaona ikielezea au kuzungumzia bomu la soweto wakati bomu la olasiti limezungumziwa, Chadema ilisema tunaushaidi wa DVD juu ya aliyehusika na ulipuaji wa bomu la soweto na tukashauri Raisi aunde tume huru ya kimahakama ili tuwasilishe ushaidi wetu. Cha kushangaza haijaundwa mpaka leo na hawataki kufuatilia swala hilo" mwisho wa kunukuu.

My take
Hapa inaonyesha kuwa Chadema walionewa na ni kweli Serikali inausika juu ya ulipuaji wa bomu la soweto na sasa wanachokifanya ni kupiga chenga ili kuficha ukweli.

Upo sahii kabisa Mkuu,
Jana nilishangaa pale waziri mwenye dhamana ya kusimamia wizara ya mambo ya ndani alipokuwa ansema "Serikali haita unda tume huru ya kijaji kwa ajili ya kuchunguza Bomu la Soweto"

Huu ni upumbavu wa serikali na haufai kuvumiliwa hata kidogo,
 
Katika Bunge linaloendelea hivi sasa Dodoma, Mb Lema katika kuwasilisha mchango wake kuhusu ripoti iliyowasilishwa bungeni juu ya wizara ya mambo ya ndani amesema

"Katika ripoti yote iliyoandikwa katika kitabu hiki sijaona ikielezea au kuzungumzia bomu la soweto wakati bomu la olasiti limezungumziwa, Chadema ilisema tunaushaidi wa DVD juu ya aliyehusika na ulipuaji wa bomu la soweto na tukashauri Raisi aunde tume huru ya kimahakama ili tuwasilishe ushaidi wetu. Cha kushangaza haijaundwa mpaka leo na hawataki kufuatilia swala hilo" mwisho wa kunukuu.

My take
Hapa inaonyesha kuwa Chadema walionewa na ni kweli Serikali inausika juu ya ulipuaji wa bomu la soweto na sasa wanachokifanya ni kupiga chenga ili kuficha ukweli.

Hakika inashangaza na kushtua kuona serikali sikivu inavyosua sua kukubali ushauri makini kama huu wa kuunda tume huru ya kimahakama. Sijui serikali sikivu inasikiiza ushauri upi na kuuzingatia?
 

Hakika inashangaza na kushtua kuona
serikali sikivu inavyosua sua kukubali ushauri makini kama huu wa kuunda tume huru ya kimahakama. Sijui serikali sikivu inasikiiza ushauri upi na kuuzingatia?


Mkuu unaizungumzia serekali ipi hiyo?

Hapo kwenye black Sijakusoma kabisa mkuu.
 
Lema anajua kabisa Serikali haiwezi kupangiwa jambo la kufanya na Chadema ndiyo maana anaweka masharti, Lema acha usanii wewe ulimwambia Zitto akupe majina ya walioficha pesa Uswisi uyataje, leo hii unasema una ushahidi wa bomu la Soweto hautaki kutaja majina.
 
Lema anajua kabisa Serikali haiwezi kupangiwa jambo la kufanya na Chadema ndiyo maana anaweka masharti, Lema acha usanii wewe ulimwambia Zitto akupe majina ya walioficha pesa Uswisi uyataje, leo hii unasema una ushahidi wa bomu la Soweto hautaki kutaja majina.

Mkuu,Lema ana tatizo kubwa sana ambalo anahitaji ushauri ili awe sawa!

Ni hivi majuzi tu alimshambulia sana Zitto leo yeye hataki kutaja mjina ya Bomu la Soweto,ndiyo yale yale siku zote nasema mkuki kwa nguruwe,kwa binadamu mchungu sana!
 
Hamna kitu ndio maana CCM inashinda kwa kishindo, wiki iliyopita povu linamtoka kwamba apewe majina ya uswisi ayataje hadharani, leo anasema ana DVD aifanyie duplicate wasambaze na waweke youtube watu waone kama wanaogopa ushahidi kuharibiwa na serikali. Waitoe DVD tuone ili tuihoji serikali kwenye kisanduku cha kura la sivyo yaleyale ya ''Cambridge international college'-chuo kipo online'(ulaghai mtupu), sasa tume ya kimahakama ataiamini vipi?wakati Jaji mkuu ni mteule wa raisi (kwa katiba ya sasa).Kila kukicha anawaambia watu kwamba dhambi kubwa ni uoga wakati yeye ni mwoga.........alijificha ndani ya nyumba yake usiku kucha polisi wasimkamate kwa agizo la mkuu wa mkoa.........!
uelewa wa baadhi ya wachangiaji humu jamvini mpaka unaleta ukakasi.ni jukumu la msingi la serikali yeyote kulinda na kuhifadhi usalama(read uhai)wa raia na mali zao.vyombo vyote vinavyowezesha kufikiwa kwa jukumu hili la msingi ni vya serikali(read Dola).kwamba mpaka leo hakuna hatua za maana za kipolisi wala za kimahakama za kuhakikisha waliopanga na kutekeleza unyama wa soweto wamepata adhabu stahiki ni uthibitisho tosha wa ama ushiriki au kushindwa kwa serikali hii dhaifu kulidha maisha ya watanzania na mali zao.kwamba chadema wameshauri njia bora ya kushughulika na uhalifu huu ni kielelezo tu cha utashi wao bora kuliko ccm ki uwajibikaji.na hili la tume ya mahakama si geni.serikali hii magamba inapaswa kutupa majibu ya ilichofanya with or without DVD ya chadema!Kwamba ccm inashinda kwa kishindo?!labda ueleze ni lini na wapi ila kwa mtaji huu sahau kishindo wala ngurumo.
 
uelewa wa baadhi ya wachangiaji humu jamvini mpaka unaleta ukakasi.ni jukumu la msingi la serikali yeyote kulinda na kuhifadhi usalama(read uhai)wa raia na mali zao.vyombo vyote vinavyowezesha kufikiwa kwa jukumu hili la msingi ni vya serikali(read Dola).kwamba mpaka leo hakuna hatua za maana za kipolisi wala za kimahakama za kuhakikisha waliopanga na kutekeleza unyama wa soweto wamepata adhabu stahiki ni uthibitisho tosha wa ama ushiriki au kushindwa kwa serikali hii dhaifu kulidha maisha ya watanzania na mali zao.kwamba chadema wameshauri njia bora ya kushughulika na uhalifu huu ni kielelezo tu cha utashi wao bora kuliko ccm ki uwajibikaji.na hili la tume ya mahakama si geni.serikali hii magamba inapaswa kutupa majibu ya ilichofanya with or without DVD ya chadema!Kwamba ccm inashinda kwa kishindo?!labda ueleze ni lini na wapi ila kwa mtaji huu sahau kishindo wala ngurumo.
Tatizo la Lema,Mbowe a CDM kwa ujumla wanakiri kuwa na ''ushahidi'' wa DVD ambaohawataki kuwasilsha kwenye vyombo vya dola,basi walete kwa wananchi kama hawaiamini serikali.
 
Tatizo la Lema,Mbowe a CDM kwa ujumla wanakiri kuwa na ''ushahidi'' wa DVD ambaohawataki kuwasilsha kwenye vyombo vya dola,basi walete kwa wananchi kama hawaiamini serikali.

Ndugu yangu,
Nilicho maananisha ni kuwa si wajibu wa Lema,Mbowe wala Chadema kuisaidia serikali iliyoko madarakani kutimiza wajibu wake.Kama wanayo hiyo DVD wanao utashi,hasa kwa uzoefu walionao kama chama kuhakikisha kuwa mkanda huo utaleta manufaa kwa kusaidia kuwatia hatiani wahusika ukitolewa.Kama wanaamini kuwa kwa kuwapa polisi ambao ni sehemu ya watuhumiwa watakuwa wamepoteza ushahidi huo mimi naunga mkono kuto utoa katika mazingira hayo.Ni sawa na binadamu amkamate ngedere anakula mahindi shambani kwake halafu ampeleke na ushahidi wa mahindi kwa hakimu ambaye ni nyani!Bila shaka akija asubuhi atakuwa hata hicho "exhibit"alichomkamata nacho mwizi wake hakipo na kesi ndio imejifuta.
CDM,Lema wala Mh.Mbowe sio wajinga kiasi unachodhani.
 
Ndugu yangu,
Nilicho maananisha ni kuwa si wajibu wa Lema,Mbowe wala Chadema kuisaidia serikali iliyoko madarakani kutimiza wajibu wake.Kama wanayo hiyo DVD wanao utashi,hasa kwa uzoefu walionao kama chama kuhakikisha kuwa mkanda huo utaleta manufaa kwa kusaidia kuwatia hatiani wahusika ukitolewa.Kama wanaamini kuwa kwa kuwapa polisi ambao ni sehemu ya watuhumiwa watakuwa wamepoteza ushahidi huo mimi naunga mkono kuto utoa katika mazingira hayo.Ni sawa na binadamu amkamate ngedere anakula mahindi shambani kwake halafu ampeleke na ushahidi wa mahindi kwa hakimu ambaye ni nyani!Bila shaka akija asubuhi atakuwa hata hicho "exhibit"alichomkamata nacho mwizi wake hakipo na kesi ndio imejifuta.
CDM,Lema wala Mh.Mbowe sio wajinga kiasi unachodhani.
Mkuu kwa raia mwema yeyote ana wajibu kikatibu kotoa taarifa za uhalifu au wahalifu polisi, kama wanazo halafu hawatoi basi hata Lema/Mbowe na CDM hawawatendei haki majerui na marehemu katika janga lile............, Hivi unafikiri kwa mfano wa Kenya wananchi wangegoma kutoa ushahidi ICC isingekuwa na misingi kuwashitaki Uhuru na Ruto Vivyo hivyo na hao CDM wasipotoa ushahidi hata kwa wananchi basi wanashirikiana na wananchi au wanafanya ni mtaji wa siasa ambao wananchi wameshachoka.
 
Back
Top Bottom