ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Kingine,
Kwanini ccm wakisikia swala la Bomu la Soweto wanachanganyikiwa na kuogopa?
Pili, Kwanini hiyo ripoti ya tume izungumzie Tukio la bomu la Olasiti alafu tukio la bomu la Soweto walinyamazie?
Mkuu,
Hivi kwanini Chadema Arusha waliamua kuchoma moto ofisi yao?