Shetani unajaribu kujifanya malaika.ila tofauti yako na malaika ni Dhambi Utajitahidi sana ila mwisho lazima utende Dhambi,utetee Dhambi na Uwezeshe Dhambi.Ninachokifahamu, LEMA ni mmoja wa watuhumiwa katika ulipuaji wa bomu SOWETO, CHADEMA walilipua lile bomu kwenye mkutano wao kwa sababu za kisiasa. Lema asifanye watanzania hawajui kinachoendelea.
hata kwa Mandela sio kuwa walisamehewa bali iliundwa tume ya maridhiano ambayo kwa kiasi fulani inafanana na zile mahakama za Rwanda maarufu kama 'gachacha'. Hii ina maana kuwa kila mtu anayetuhumiwa au kujihisi tuhuma zozote anakuja anaeleza na kuomba msamaha lakini asipotokea basi anapelekwa mbele ya haki.Na hata kwa kuyajua maovu yote haya naona kaka mkuu alishaanza kutaadharisha siasa za visasi.
Kwa taarifa tu, kwa uovu na ukandamizaji wa namna hii hatoachwa mtu wala mti kwa kisingizio cha kutolipiza mabaya kwa wale waliowatendea wenzao maovu.
You cannot hide your face and counterfeit people under Mandela's icon.
You'll evenly be subjected to indictment and get equally repaid with the same kind of an act committed to others provided that your evil deeds and wrongdoing are proved beyond doubts.
For your information, you must not get carried away with these silly politics you are trying to exercise.
Tired of your satanic way of living
Lema hana jipya,bomu walirusha wao CDM,hata majuzi walichoma ofisi moto lkn ofisi Arusha ili wapate huruma ya Wananchi
muwe mnajitahidi kusoma na kuelewa, Mh. Lema anasema hili halijatajwa kwenye report ya kamati wakati maisha ya wau wasio na hatia yalipotea!Lema hana jipya,bomu walirusha wao CDM,hata majuzi walichoma ofisi moto lkn ofisi Arusha ili wapate huruma ya Wananchi
Kweli huku ni kujitoa ufaha, mi hata sijui siasa mnaishabikia vp? Kwa hiyo kukalia ushahidi hao watu walikufa ndo kuwatendea hakiAre you also man with a chicken head ? Watu wamekufa unaleta utani ? Kwani kuunda Tume ya kimahakama serikali inaonaje ?
Ivi kuna asiye juu nani aliyelipua bomu la SOWETO
Ukitembelea Arusha waulize hata wanafunzi watakuambia
Zla zile damu hazitaishia bure Mungu atawaadhibu
Kila auwae kwa upanga na yeye atawawa kwa upanga
Ndo maana nasema hata hapa JF yoyote anayetetea kitu ili hali anajua anatetea uovu utamrudia
Itamrudi ama direct or indirect hapa hapa duniani.
Ivi kuna asiye juu nani aliyelipua bomu la SOWETO
Ukitembelea Arusha waulize hata wanafunzi watakuambia
Zla zile damu hazitaishia bure Mungu atawaadhibu
Kila auwae kwa upanga na yeye atawawa kwa upanga
Ndo maana nasema hata hapa JF yoyote anayetetea kitu ili hali anajua anatetea uovu utamrudia
Itamrudi ama direct or indirect hapa hapa duniani.
muwe mnajitahidi kusoma na kuelewa, Mh. Lema anasema hili halijatajwa kwenye report ya kamati wakati maisha ya wau wasio na hatia yalipotea!
Waziri wa mambo ya ndani anaifahamu vizuri bomu la soweto!
Nchimbi kama alivyoshiriki kumpoteza Dr. Mvungi ndivyo alivyoshiriki kulipua bomu soweto!
You got that right.
Kibaya zaidi hawa wanaotetea huo uonevu wa serikali kwa ID fake si ajabu ni viongozi serikalini au wana nafasi nzuri ya kurekebisha na kuboresha mahitaji ya jamii.
Mkuu ongea ukiwa na ushahidi, otherwise nyamaza. Huyu marehemu unayemtaja hapo ana ndugu na marafiki wa karibu wakiwemo wanawe. Unapolitumia jina lake kwa mzaha hivi haipendezi.
Kwa hiyo mnafahamu kuwa kwa sasa mnaoujuwa ni uwongo..???Majina ya Mabilionea wenye pesa Uswisi yanahitajika na Lema ayataje Bungeni, kwa nini asianze na alichonacho mwenyewe anachoita ushahidi!
Kama Lema jasiri aweke hadharani DVD hiyo watanzania tuujuwe ukweli.
Huu ndiyo utoto wa viongozi wa CHADEMA.
Huyu kijana ambaye siasa amezivamia siyo muda mrefu alikuwa anaweka pressure kwa mbunge mwenzake ampe majina ya walioficha pesa nchi za nje ili awataje yeye lakini likija swala la kuwataja au kutoa video ya mauwaji ya watu wasio na hatia wanayodai wanayo, anataka tume ya kijaji.
He is the most stupid MP has ever join the floor of parliament.
Usanii mtupu unaowafaa watu wenye akili kama zake.
Majina ya Mabilionea wenye pesa Uswisi yanahitajika na Lema ayataje Bungeni, kwa nini asianze na alichonacho mwenyewe anachoita ushahidi!
Kama Lema jasiri aweke hadharani DVD hiyo watanzania tuujuwe ukweli.