Lema aibuka na 'bomu la Soweto' Bungeni

Lema aibuka na 'bomu la Soweto' Bungeni

Ukweli ni kuwa wananchi wamechoka, kuanzia kaskazini, kusini, mashariki na magharibi, sasa wananchi wamesema basi! Yaliyompata Mabina ni rasharasha tu... ccm fungasheni mtuachie nchi. Kama mmeshindwa kusoma alama za nyakati na kuendelea kuidharau sauti ya umma sisi tumeshasema 'Tumechoka', na kama tulivyoamua kuitekeleza amri ya Waziri Mkuu, basi kilichobakki ni 'kuwapiga tu!' ccm inabidi tuwakumbushe ya kuwa jemadari wa vita Goliathi aliangushwa na kijana mdogo Daudi aliyekuwa na silaha ya jiwe!
 
laana ya milele iwapate wote waliohusika na ulipuaji wa bomu kwenye mkutano halali wa cdm ARUSHA .
 
Ivi kuna asiye juu nani aliyelipua bomu la SOWETO
Ukitembelea Arusha waulize hata wanafunzi watakuambia
Zla zile damu hazitaishia bure Mungu atawaadhibu
Kila auwae kwa upanga na yeye atawawa kwa upanga
Ndo maana nasema hata hapa JF yoyote anayetetea kitu ili hali anajua anatetea uovu utamrudia
Itamrudi ama direct or indirect hapa hapa duniani.
verily..
 
Kwakweli hili serikali isikae kimya,wale wabunge ambao hawaungi mkono swala la "bomu la soweto" bila kujali itikadi ya vyama waikabili serikali kuchukua hatua za dhati juu ya mlipuko huo.
Kuendelea kuwa kimya ni dhahiri serikali imehusika au unawalinda wahusika,kitu ambacho ni kinyume kabisa na haki za binadamu.Kwa kukaa kwao kimya inamaana wanaunga mkono ulipuaji huo huku wananchi wasio na hatia wakipoteza maisha yet waliapa kuilinda katiba.Inasikitisha sana.
 
Ufahamu ukishamtoka mtu inakuwa tabu sana.
Chadema inaamini kuwa sio serikali yote inahusika na Bomu la Soweto na ndio maana inataka serekali iunde tume huru ya kijaji ili wahusika wawajibishwe.

Hii ndio tatizo la bk7 wavivu wa kusoma na wazito wa kuelewa wepesi wakuropoka werevu wa kukariri.
aaaahaaaa viroba +gongo hao waaminifu waserikalini mtawachagua nyinyi wewe na uyo kabang wote mazirooo
 
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.

Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?

Wajinga ndio waliwao...

" Amwambiaye mtu mwovu,Wewe una haki; Kabila za watu watamlaani, taifa watamchukia...

Bali kwao wakemeao furaha itakuwako; Na baraka ya kufanikiwa itawajia." Mithali 24: 24-25 Biblia Takatifu.
 
Wakiitwa wenye akil na ww utatoka mbele?ebu achen kujiba sifa zisizokuwa zenu,ungekuwa na akil ungeish maisha hayo ulionayo?ona aibu bas nawww wenye akil wapo ofisin huko busy wanapanga mipango sio ww unaganga njaaa na mawazo yako mgando hayo

Mkuu kiboko....punguza hasira. Waungwana hawana papara katika kauli na maandishi yao. Sitaki kuamini kuwa uwezo wako wa ufahamu uliopewa na Muumba umeishia hapo.
 
I don't like to look like a child if I mark your words.

I have got no place in my mind to put such garbage words.

Take it with you and keep it. Thanks.

.... nakuhakikisha hii issue pamoja na kuwa na back-up ya huyo mvivu wenu asiyetulia magogoni anayezuraru mchana na usiku lakini kuna watu iliwakasirisha sana.... na mambo yote siku moja yatakuwa hadharani.
 
Kwa srekali kutuhumiwa kuhusika na matukio ya mauwaji itafika sehemu wananchi kulipa kisasi ndani ya nchi tunashuhudia mauaji ya mstaafu mwenyekit wa ccm mkoa wa mwanza inaonyesha wazi kuwa wananchi wamechoka na serikali iliyopo madarakani!!
 
Ivi kuna asiye juu nani aliyelipua bomu la SOWETO
Ukitembelea Arusha waulize hata wanafunzi watakuambia
Zla zile damu hazitaishia bure Mungu atawaadhibu
Kila auwae kwa upanga na yeye atawawa kwa upanga
Ndo maana nasema hata hapa JF yoyote anayetetea kitu ili hali anajua anatetea uovu utamrudia
Itamrudi ama direct or indirect hapa hapa duniani.

Hitler aliwauwa Wayahudi niayake ilkuwa ni kuwamaliza kabisa lakini hakuwaliza. Hata maccm hayawezi kutokomeza fikra huru.
 
Muungwana chitambikwa...wenye akili tunajua...nani aliyemnyamzisha Dr....lengo ni kuivuruga Tume ya Warioba...Dr. akiwa ni msomi aliyebobea kwenye sheria hasa KATIBA...alikuwa nguzo ya Tume. Tunajua Tume imeyumbishwa sana na kuondoka kwa Dr...

Wenye akili tunajua Mipango yao ya kuvuruga mchakato wa KATIBA ili waendelee kubaki madarakani.

Mkuu inauma sana, eti kisa alisimamia mfumo wa serikali tatu na ukizingatia aliiapia tume kuwa yeye kama mtaalamu wa sheria ya katiba!!!
 
A kheri ya hivyo kuliko dawa zenu za kulevya na kuliwa ili ule
Sasa hapo unamsema kabang maana hata picha za kuliwa tuliziona.. dj wenu hayo mapouda alikua akiyafanya zamani sijui ulikua bado ujazaliwa
 
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.

Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?

Wajinga ndio waliwao...

Mkuu mbona kuna maswala mnayaundia tume kila mara tena mengine sio makubwa kama bomu la soweto kuna ugumu gani kuunda tume kuchunguza mabomu kutoka china kuja kutulia raia? mwogopeni mungu nyie watu.
 
Mkuu hapo kwenye red mbona umejionyesha kuwa wewe ni kichwa cha mende?

KIchwa cha Mende Lema anetaka apewe majina yay walioficha pesa ayataje wakati majina ya waliolipua bomu anayo ameshindwa kuyataja anuburi tume! CDM mmjilipowa wenyewe mstibabaishe na usanii wenu huo.
 
Mi nashangaa sana critical thinkers...! Jamani, hivi wewe ungekuwa wewe ndo umelilipua ungeunda hiyo tume...!? Acheni mambo ya ajabu bhana...
 
una mawazo ya kipumbavu wewe....... yapo wapi majina ya walioficha fedha? kwanini yasitajwe?
Kama Zitto anaogopa ampe Lema atawataja acheni ukunyanzi bana
kauli zako zina kaharufu ka maziwa ya mama... vipi bado unanyonya?????
maana inaelekea sakata la wanasiasa na wafanyabiashara kuficha hela nje ya nchi umeanza kulisikia mwaka huu 2013.
najua ni umri wako wa mwaka mmoja na nusu ndio unaokusumbua
 
Back
Top Bottom