Lema aibuka na 'bomu la Soweto' Bungeni

Lema aibuka na 'bomu la Soweto' Bungeni

Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.

Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?

Wajinga ndio waliwao...

Hapo sasa ndo naona sarakasi za chadema lipyoto,ule mkanda mbona awauleti adharani,ili tuungane kupigania haki
 
Lema kawamwagia ----- kazi kwao kuusambaza sana!:A S 39:
 
Serikali iilihusika moja kwa moja. Serikali dhalim ya magamba
kama serikali iliusika sasa iyo tume huru mnaitaka ya nini maana inaundwa na iyo iyo serekali aaaahaaaaa devision 5 kazi kweli kweli
 
wajinga kama wewe bado wako ccm,wewe unafurahi tu jinsi watu walivyokufa na mlipuko wa bomu! Yaan mijitu miji.nga na mipumbavu kama wew ndo mnasherehekea vifo vya wenzenu.Naona kwenu ninyi magamba Buku 7 mnafurahia tu watu kufa,hata halioni aibu,popote ulipo laana hii ya kubariki mauaji ikufikie
Matusi ni siraha hafifu sana katika kupambana na hoja.

Tatizo lako umebarikiwa ukosefu wa fikra pevu.

Si ndiyo hawahawa wanailaumu serikali kuhusika?.

Kwa hiyo anataka serikali "iliyoweka" bomu kwenye mkutano ndiyo tena ifanye uchunguzi?. Toka lini kesi ya nyani akapelekewa ngedele?.

Kwa nini asitoe tu hiyo video ili watu waione serikali katika uhusika wake?.

Wewe ni wakuhurumiwa tu kwa sababu siyo kosa lako, this is BAVICHA mentality at its best.
 
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.

Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?

Wajinga ndio waliwao...
mbona unakuwa mgumu sana kuelewa? Chadema wanataka iundwe tume na rais ili wautoe ushahidi lakini serikali haitaki wao walichokifanya ni kukamata maaskari na kuvunga wanahoji, lakini iko wazi serikali inajua kilichotokea kwenye ule mkutano
 
Kuna wanasiasa kila wakizungumza na nikishuhudia kwa matendo yao ninaamini kuwa nchi yangu inapitia katika zama za ujinga.
 
mbona unakuwa mgumu sana kuelewa? Chadema wanataka iundwe tume na rais ili wautoe ushahidi lakini serikali haitaki wao walichokifanya ni kukamata maaskari na kuvunga wanahoji, lakini iko wazi serikali inajua kilichotokea kwenye ule mkutano

sas kuna haja gani ya kuunda tume kama waliohusika na hilo bomu wanafahamika? Lema anatafuta namna ya kujisafisha tu na ile kashfa ya kulawitiwa
 
Kuna wanasiasa kila wakizungumza na nikishuhudia kwa matendo yao ninaamini kuwa nchi yangu inapitia katika zama za ujinga.

Mkuu, matukio ya sodoma na gomora yanasababisha watu wasiwe na uhuru wakati wa mijadala
 
Tatizo liko kwa hao mapolisi

Mkuu, ni hawa hawa polisi ndio waliomuokoa dr slaa kule kigoma. Ingekuwa wana lengo baya, si wangemwacha tu apopolewe na mawe kama alivyofanyiwa diwani wa Mwanza?
 
Huu ndiyo utoto wa viongozi wa CHADEMA.

Huyu kijana ambaye siasa amezivamia siyo muda mrefu alikuwa anaweka pressure kwa mbunge mwenzake ampe majina ya walioficha pesa nchi za nje ili awataje yeye lakini likija swala la kuwataja au kutoa video ya mauwaji ya watu wasio na hatia wanayodai wanayo, anataka tume ya kijaji.

He is the most stupid MP has ever join the floor of parliament.

Usanii mtupu unaowafaa watu wenye akili kama zake.

Kwa taarifa yako ....hata ipite miaka mingapi... genge zima lililohusika na yale mauaji ya watu na watoto wasio na hatia LAZIMA litahukumiwa. Mark my words! Hakuna cha TISS polisi au mkuu wa mkoa. Mambo yanajulikana kuliko mnavyofikiri!!
 
Mkuu, ni hawa hawa polisi ndio waliomuokoa dr slaa kule kigoma. Ingekuwa wana lengo baya, si wangemwacha tu apopolewe na mawe kama alivyofanyiwa diwani wa Mwanza?

Polisi walifanya makosa wangemuacha hata kwa dkk 10 tu wangemfanyia kama ya Ghadafi
 
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.

Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?

Wajinga ndio waliwao...

Mjinga wa kwanza ni wewe mh waziri na unaliwa na ccm lkn hushtuki.
 
Kwa taarifa yako ....hata ipite miaka mingapi... genge zima lililohusika na yale mauaji ya watu na watoto wasio na hatia LAZIMA litahukumiwa. Mark my words! Hakuna cha TISS polisi au mkuu wa mkoa. Mambo yanajulikana kuliko mnavyofikiri!!

hahahahahaaaa. Nimecheka sana.
 
Back
Top Bottom