Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Polisi walifanya makosa wangemuacha hata kwa dkk 10 tu wangemfanyia kama ya Ghadafi
kwa hili nakubaliana mkuu. Wangemwacha kwanza atwangwe pengine angeshika adabu
Polisi walifanya makosa wangemuacha hata kwa dkk 10 tu wangemfanyia kama ya Ghadafi
I don't like to look like a child if I mark your words.Kwa taarifa yako ....hata ipite miaka mingapi... genge zima lililohusika na yale mauaji ya watu na watoto wasio na hatia LAZIMA litahukumiwa. Mark my words! Hakuna cha TISS polisi au mkuu wa mkoa. Mambo yanajulikana kuliko mnavyofikiri!!
Usiniambie mkuu,inamaana mnara ukiwa full signal unapata 0713.....
kama serikali iliusika sasa iyo tume huru mnaitaka ya nini maana inaundwa na iyo iyo serekali aaaahaaaaa devision 5 kazi kweli kweli
Ufahamu ukishamtoka mtu inakuwa tabu sana.
Chadema inaamini kuwa sio serikali yote inahusika na Bomu la Soweto na ndio maana inataka serekali iunde tume huru ya kijaji ili wahusika wawajibishwe.
Hii ndio tatizo la bk7 wavivu wa kusoma na wazito wa kuelewa wepesi wakuropoka werevu wa kukariri.
Safi sana kamanda
hahahahahaaaa. Nimecheka sana.
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.
Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?
Wajinga ndio waliwao...
kwa hili nakubaliana mkuu. Wangemwacha kwanza atwangwe pengine angeshika adabu
Kama ushahidi anao si auweke hadharani?
Mr Zero, hapo sasa umechangia hoja kweli ?Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.
Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?
Wajinga ndio waliwao...
ni kweli Lema anweza kuwa kavamia siasa kwa mbele, lakini Je mnashindwa nini kuunda tume ya kijaji ili baadaye tuone huo ushahidi ambao mmeshauwita ni wa uwongo toka CHADEMA hadharani?Huu ndiyo utoto wa viongozi wa CHADEMA.
Huyu kijana ambaye siasa amezivamia siyo muda mrefu alikuwa anaweka pressure kwa mbunge mwenzake ampe majina ya walioficha pesa nchi za nje ili awataje yeye lakini likija swala la kuwataja au kutoa video ya mauwaji ya watu wasio na hatia wanayodai wanayo, anataka tume ya kijaji.
He is the most stupid MP has ever join the floor of parliament.
Usanii mtupu unaowafaa watu wenye akili kama zake.
ni heri mvuta unga mwenye utu kuliko yule asiyevuta mwenye hulka,tabia,mienendo,mawazo na matendo ya kishetani. mkuu yeye hakutoa pole kwa sababu ni muungwana ila angekuwa mkatili kama alivyo mchawi wenu SKLAA, BMisiba ya wavuta unga utamuona mukulu akitoa pole, la ajabu hilo bomu la soweto hata yeye alikaa kimya, watu tulio wapoteza wlichukuliwa kama vile kuku wamekufa kwa mdondo wakati south ameenda mara mbili kwa msiba huohuo! greeeeeeeeeeeeeee!
Hizi zote sarakasi, juzi mnamtaka Zitto ataje majina hamuombi tume huru, hapa ushahidi mnao mnaaomba time huru, sometimes kushabikia siasa inabidi ujitoe ufahamu kidogoHata kuzungumzia tu wanaogopa? Hata kuweka kwenye report?
Serikali kama ya makaburu?
Nyerere aliupinga ukoloni....sasa ccm imerudisha ukoloni upya.
Lema anataka apewe majina ya wenye pesa Uswizi ili awataje hadharani. Lakini kuwataja waliolipua bomu anaweka vikwazo.
Kwani kama anauhakika na ushahidi wake kuna ugumu gani kuuweka hadharani?
Wajinga ndio waliwao...
Hizi zote sarakasi, juzi mnamtaka Zitto ataje majina hamuombi tume huru, hapa ushahidi mnao mnaaomba time huru, sometimes kushabikia siasa inabidi ujitoe ufahamu kidogo
Hivi hizo shule mmesoma hata hazijawasaidia ? hapo unalinganishaje ? hivi kwa upeo wako finyu kesi ya mauaji ni sawa na kesi ya kuhujumu nchi ? na utaratibu wa kushughulikia kwako ni sawa tu ?Lema ulisema hauitaji kinga kusema wezi wa mabilioni ya uswisi
Leo unayo DVD ya mauaji ya bom arusha then unaogopa mpaka tume ya kimahakama ya rais, mi nilidhan badala ya kusubiri hiyo tume ungepeleka dvd hiyo ITV, TBC, STAR TV, CHANNEL TEN, CNN, BBC, AL-JAZIRA, SBC
ili watanzania wajue ukweli