Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Si mpaka iwe na encryption....
....yawezekana ilikuwa na 4-bit encryption level kama hapa chini:
Si mpaka iwe na encryption....
View attachment 2725
Mlinzi wa Rais ndio huyo huyo anabebeshwa masanduku na ma laptop. Ndio maana yanapotea. Au huyu mwanajeshini nani hasa hasa ?
View attachment 2725
Mlinzi wa Rais ndio huyo huyo anabebeshwa masanduku na ma laptop. Ndio maana yanapotea. Au huyu mwanajeshini nani hasa hasa ?
Dataz ilizopata so far ni kwamba hiyo laptop haijaonekana mpaka sasa na jamaa wa uwt wamemwagika mitaani wakifuatilia wapiga dili za namna hii hapo town. Inasadikika kwamba hii ilipotea katika hki kipindi ambacho muungwana alienda AR.
kwanza kwa nini raisi anahitaji kuwa na laptop? anafanya nini na hiyo laptop?
Naomba kuuliza! Kwenye hii picha, aliyevaa shati jeupe na kusimama kati kati ya IGP Mwema na Bernard Membe ni nani?
kwanza kwa nini raisi anahitaji kuwa na laptop? anafanya nini na hiyo laptop?
Kuna tetesi za kuaminika kwamba kompyuta ya mapajani (Laptop) ya mkuu wa kaya imepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Salva karibu for comments................
Kuna tetesi za kuaminika kwamba kompyuta ya mapajani (Laptop) ya mkuu wa kaya imepotea katika mazingira ya kutatanisha.
Salva karibu for comments................
JK ana laptop? na kile ki dog eared notebook (real notebook, not computer) amwachie nani?
ukute hata backup ya data zake hana... Kwi kwi kwi kwi kwi