Kutokana na Maelezo ya watu wa karibu Laptop yenyewe imejaa bongo flava na movie za utamu, ambazo Mh huwa anasikiliza na kutizama akiwa safarini. Hivyo haina athari yoyote katika uongozi na usalama wa nchi.
Sio rahisi hata kidogo na hata kama imechukuliwa wewe uliyechukuwa usitegemee kupata chochote kipya toka katika laptop hiyo hakuna lolote la maana -- watu wa usalama wanajua hilo
Kutokana na Maelezo ya watu wa karibu Laptop yenyewe imejaa bongo flava na movie za utamu, ambazo Mh huwa anasikiliza na kutizama akiwa safarini. Hivyo haina athari yoyote katika uongozi na usalama wa nchi.
Mkuu unafikiri Jk anaweka vitu vya maana mule zaidi ya Movie....yeye analia na maIT expert wa Ikulu wamuongezee RAM ajaze crips zaidi.Jamani,hata Ikulu ya Mkapa ilipoungua, kulikua na maneno mengi. Na sasa sidhani kama kuna tofauti yoyote ya tukio la moto wa Ikulu na hili
Mama, anao watoto wadogo, mmoja au wawili nadhani ni adopted.
Unatamani kweli ungeichukua wewe.....nyoooooooooo!!!
Nisije nkasutwa kama wanavyosutwa wa'iringa'
ngoja nikunong'oneze wewe tu wengine wasisikie..... eti nimesikia kale katoto aliko ka'adopt ni ka kwake alikazaa alipokuwa anacheza huko nje ya nyumba yake ss ili kukachukua akamwambia mazeri akakaweke mburahati na yeye atajifanya kuka'adopt..... hivi ni kweli?
i hope wengine hawajasikia nimekunong'oneza wewe tu si unajua!
Utamaduni wala hilo siyo siri kila mtu alijua, hadi kuna watu walikuwa wanahojiwa kwenye redio siku ya bethiday ya Jk wakakebehi kweli kwamba mama salma ana jicho kali kweli kaenda kituo cha watoto yatima kachagua katoto kenye sura zinazo fanana na wake ili wakiwa wote kasitofautiane nao!
na pengine hiyo laptop ilijaa picha za hako katoto, si unajua kiziwanda kwi kwi kwi ...
Jamani,hata Ikulu ya Mkapa ilipoungua, kulikua na maneno mengi. Na sasa sidhani kama kuna tofauti yoyote ya tukio la moto wa Ikulu na hili
View attachment 2725
Mlinzi wa Rais ndio huyo huyo anabebeshwa masanduku na ma laptop. Ndio maana yanapotea. Au huyu mwanajeshini nani hasa hasa ?
View attachment 2725
Mlinzi wa Rais ndio huyo huyo anabebeshwa masanduku na ma laptop. Ndio maana yanapotea. Au huyu mwanajeshini nani hasa hasa ?
Naomba kuuliza! Kwenye hii picha, aliyevaa shati jeupe na kusimama kati kati ya IGP Mwema na Bernard Membe ni nani?
View attachment 2725
Mlinzi wa Rais ndio huyo huyo anabebeshwa masanduku na ma laptop. Ndio maana yanapotea. Au huyu mwanajeshini nani hasa hasa ?
...May be sasa hivi imeshafika na Urusi kwa ajili ya decryption......!!!