Laptop ya JK yatoweka kiutatanishi!

august naweza kuongelea mambo ya usalama na ulinzi kwenye ulingo wa ICT na sio zaidi ya hilo kwahiyo usipindishe mada unaona watu wangapi wanafuatilia mada hii ?
 
august naweza kuongelea mambo ya usalama na ulinzi kwenye ulingo wa ICT na sio zaidi ya hilo kwahiyo usipindishe mada unaona watu wangapi wanafuatilia mada hii ?

Shy Shy shy, mimi nimezungumzia usalama in general, sasa wewe kwa akili yako ya kuzaliwa tu, unaonaje hiyo ya Body Guard kubeba, brief case na laptop etc. nafikiri haitaji ujuzi wa computer ni general knowledge tu. SAWA DUGU
 
Jamani,hata Ikulu ya Mkapa ilipoungua, kulikua na maneno mengi. Na sasa sidhani kama kuna tofauti yoyote ya tukio la moto wa Ikulu na hili

U mean What goes around, comes around?

Jamani laptop iliyopotea ni ya RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na sio ya JK. Tuwe makini na ushabiki huu....

Tanzanianjema
 
Kama inaruhusiwa kutoa opinion, kwa maoni yangu hii habari siyo ya kweli. The laptop is just misplaced.
Nyuma ya rais mwanajeshi ni ADC wa rais. Kuwakilisha kama Amiri Jeshi Mkuu. Walinzi wako pembeni. Laptop ilitakiwa ibebwe na katibu myeka wake. Kuna kazi zinafanywa just for granted.
 
Yule mwanajeshi sio mlinzi wa jk,ni MPAMBE wake.Kabla ya kukimbilia kulaumu protokali imekiukwa kwa mpambe huyo kubeba mizigo ya rais ni vema kufanya reference kwa viongozi wengine (hususan wa kiafrika) ambao wenye utaratibu huo wa kuwa na wapambe (wanajeshi).It's not taking things for granted bali ndio jukumu la mpambe wa rais.
 
Bado nawashangaa wanaoshangaa...Tujiulize jambo moja.
Nani atakuwa anataka kujua kwa udi na uvumba nini kilichomo ndani ya lap top?

Sikubaliani na wale wanaodai eti ni movies tu zimo humo.

Wakati nchi ikiuzwa hakuna mawasiliano? Ama inauzwa vipi? Sinclair emails etc? Bush Je?

Anyways...Back to the point...Hapo ni groups mbili zinaitaka hiyo lap top....

1)Mafisadi
2)Wazalendo na freedom fighters.

Inawezekana hakuna anayejuwa ndani ya akili ya JK kuna nini...Upande wa mafisadi hawajui na wazalendo nao bado hawana uhakika na anachofanya huyu mtu.

Therefore sidhani kama ni appropriate ku under estimate kilichomo simply kwa kudai eti ni movies.
Nchi inayumba.
 
..lap top ya jk haiwezi kuwa na chochote zaidi ya family album.......na kutumia kuchezea karata..kwa namna jk alivyo kilaza siwezi kuamini kama anaweza kufanya chochote productive kwenye lap top yake.....huwezi kulinganisha uwezo wake wa kutumia computer na wa mkapa ambaye hata barua zake sensitive za uteuzi ,kuoanga baraza ,speechesetc alikuwa anaandika mwenyewe na kusave kwenye lap top yake na kuprint na kuwapa maelezo siku anayotaka zitangazwe....ndio maana teuzi zake zilikuwa hazivuji!!..pia ana speed sana kwenye computer kutokana na background yake....

Huyu jk mamabo yake mengi inaonekana anaandaa rough na kumpa msaidizi achape au sometimes anatoa verbal maelekezo ...na kumwacha msaidizi kupanga content...na wala hatafanya editing...kanyaga twende!

Lap top alikuwa anachezea karata tu hiyo....it has nothing specified!
 
Kama ni kweli lap top imepigwa basi ni lazima ni watu wenye access ya karibu na mtawala wa nchi na kwa mantiki hiyo basi....Kama ingekuwa ni karata tu basi wasingeilamba kwani wanajuwa atavuta mpya tu.....Na karata ataendelea kucheza kama kawa...Sidhani kama imepigwa na vibaka...Na pia sidhani kama hao watu wa karibu ama securities wameilamba ili wakaangalie score yake ya black jack whatsoever...Ama ni movie gani ka download...Hata email watu wana interest nazo we unadai karata mara wengine eti movies.
Duh!
 
..lap top ya jk haiwezi kuwa na chochote zaidi ya family album.......na kutumia kuchezea karata..kwa namna jk alivyo kilaza siwezi kuamini kama anaweza kufanya chochote productive kwenye lap top yake.....huwezi kulinganisha uwezo wake wa kutumia computer na wa mkapa ambaye hata barua zake sensitive za uteuzi ,kuoanga baraza ,speechesetc alikuwa anaandika mwenyewe na kusave kwenye lap top yake na kuprint na kuwapa maelezo siku anayotaka zitangazwe....ndio maana teuzi zake zilikuwa hazivuji!!..pia ana speed sana kwenye computer kutokana na background yake....

Huyu jk mamabo yake mengi inaonekana anaandaa rough na kumpa msaidizi achape au sometimes anatoa verbal maelekezo ...na kumwacha msaidizi kupanga content...na wala hatafanya editing...kanyaga twende!

Lap top alikuwa anachezea karata tu hiyo....it has nothing specified!

Sawa Phil you might have a very valid point. However, the contrary could also be true. For one and only one reason; watu wasiojua computer au kupendelea mawasiliano ya computer kama jinsi ulivyoelezea hapo juu, ndiyo hao huwa wanarundika kila aina ya ma-file kwenye computer zao. Wanayaacha unorganised and unprotected. Whereas, yule anayejua au kutumia computer sana, uwezekano ni kuwa anaenda na wakati. Ya kwamba, hata ukiichukua computer yake unaweza usiambulie kitu... maana amejikinga through safe usage. Ma-file sensitive ana delete au ana encrypt, na sehemu ambapo anaona kuna risk kubwa basi hatumii computer kabisa. Just my observation, thanx.

SteveD.
 
Sawa Phil you might have a very valid point. However, the contrary could also be true. For one and only one reason; watu wasiojua computer au kupendelea mawasiliano ya computer kama jinsi ulivyoelezea hapo juu, ndiyo hao huwa wanarundika kila aina ya ma-file kwenye computer zao. Wanayaacha unorganised and unprotected. Whereas, yule anayejua au kutumia computer sana, uwezekano ni kuwa anaenda na wakati. Ya kwamba, hata ukiichukua computer yake unaweza usiambulie kitu... maana amejikinga through safe usage. Ma-file sensitive ana delete au ana encrypt, na sehemu ambapo anaona kuna risk kubwa basi hatumii computer kabisa. Just my observation, thanx.

SteveD.


you are very right steve...mara nyingi mabosi wengi hukazania kusisitiza lap top zao zilizojaa vumbi ziwekwe mafaili yote muhimu ya ofisini........hii ni hatari anaweza hata kukutana na mwanamnke kumbe ni agent akayahamishia yote kwenye flash....huyoooooooooo.......computer pia inaweza kuwa chanzo cha siri nyingi za ikulu kuvuja..

mzee wa lupaso yeye upande wa kutunza siri alikuwa amefuzu ..nadhani hata lap top yake ilikuwa haifunguki bila password.....you know what..kile kitabu cha "UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA"...yeye ndiye alichapa kila kitu na ku save...na hakikuwahi ku leak hadi kilipotoka .....na alienda kuchapishia zimbabwe..hii ni pamoja na ulevi wake pale texco au etienes hakupata kumweleza yeyote....

my take is sio rahisi mtu wa kawaida kuiba lap top ya rais ..nakubaliana na wewe kuwa inaweza kuwa imesheni taarifa nyeti sana kiasi vijana wa UT wakaona bora waiibe waifiche isije ikaangukia mikononi mwa mahasimu wake wakapata silaha ya kumwondoa [hii ni kwa kumsaidia bosi wao]
 
watoto wa rais bwana, wanadokoa laptop na sio coins za mia mia au kulamba sukari.

Mama inasemekana mtoto wake mmoja alishawahi kumliza kwa mapesa mengi sana huyu anajulikana kama ni mwizi maana udokozi yeye kishaukubuhu
 
Is it confirmed kuwa ni mtoto wake anayo?
Na kama thats the case basi inapandiwa dau hapo ilipo.
Kama aliyeichukuwa hana kazi nayo bali anataka pesa..Basi ni mwenye dau kubwa kati ya mafisadi na wazalendo na any third party...Ndiye atakayeipata...JK mwenyewe pia kutokana labda na baadhi ya movies na memories nyinginezo bado atakuwa anaitaka.
Lakini hata kama akiipata..Inategemea kama itakuwa ishapekuliwa ama la.....Na asipoipata pia huyo mwenye kuwa nayo atakuwa tayari hana haja na pesa.
 
HIvi kwa nii ADC abebeshwe mizigo na mafaili na yasitangulizwe na msaidizi (UWT) mwingine ndani ya gari au ndege?

Hivi kama hicho kipakatapaja kingekuwa ndio kama futiboli ya Rais wa Marekani, kungekalika?

Nashangaa eti tunatakwa kujenga mitambo ya nishati ya nyukilia lakini tunapoteza kipakatapaja cha mukulu wa matanuzi kwa urahisi namna hii...
 
Back
Top Bottom