Lamomy is back

Lamomy is back

Status
Not open for further replies.
Poa, siwapendi kweli kweli mboga mboga.
Nyie ndo chanzo cha watu kuvaa malapulapu hadi maofisini wanashindwa kuafford nguo mpya hata ya mchina..!! 😹😹😹
Kwahiyo hapo ndio umenitukana?
 
Udugu nilikumiss 😘
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!

Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta 😹😹😹😹

Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniii…!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii 🤸‍♀️😹😹😹

Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz 😹😹😹😹
watatii huu mwaka
aiseee
 
Ankal umeiona second warning? Ya tatu ndio nitolee.. Chezeni kwa step😀😀😀
Mods nao sitaki nataka.
Sasa mi nna madhara gani? 😹😹😹

Halafu watu wenyewe wanasemea pembeni hata hawaji huku, huko selfika nna ban.

Vichaa wenyewe hata hawana mapya yote ya zamani. Wanasubiri mimi niwape topic ya kudiscuss.. km sasa hivi huko wanaongelea kuhusu blauzi yao ya afu tatu..!! Si umeona lakini ankal 😹😹😹
 
Udugu nilikumiss
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!

Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta

Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniii…!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii

Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz

Uduguu nilikumic pia, mie ndio nimefunguliwa Leo asubuhi.
Ko selfika wameku ban usitoe comment wala ku reply? Ila modes nao khaaah.
 
Mods nao sitaki nataka.
Sasa mi nna madhara gani?

Halafu watu wenyewe wanasemea pembeni hata hawaji huku, huko selfika nna ban.

Vichaa wenyewe hata hawana mapya yote ya zamani. Wanasubiri mimi niwape topic ya kudiscuss.. km sasa hivi huko wanaongelea kuhusu blauzi yao ya afu tatu..!! Si umeona lakini ankal

Uduguu mie sitaki ujuee, khaaaah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom