Lamomy is back

Lamomy is back

Status
Not open for further replies.
Anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Nje ya mada: Mlozi mwenzangu utafanya tuvurugane humu jamvini. 😁
Kuna kiwanja kipya acha kabisa😂 yaani huko ni kujipakulia minyama tuu😂
76edc4e0-dd7e-4117-af3b-58ebc837cf7c.jpeg
 
Lamomy japo sijui kwa nini ulipigwa Ban ili nimesikitika sana kipindi upo kifungoni juzi Kasongo wa Jf ELI COHEN EliNyahu alikuomgele vibaya na kukukandia .

Mimi sikuvumilia Kasongo kupambana na mtu ambaye hayupo nikanunua ugomvi nikaanzisha bonge la Vagi refa alikuwa secretarybird mpaka Kasongo akakimbia .

Kwa vile umerudi Kasongo ELI COHEN sio wa kumuacha hivi hivi , mimi nitasimamia shoo ashughulikiwe kisasawa , japo kanikimbia na kuniIgnore baada ya mashambulizi yangu ila bado nina usongo na Kasongo
Najivunia kwamba mechi niliichezesha bila upendeleo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom