Lamomy is back

Lamomy is back

Top za afu tatu zinabweka woow woow nyie mi sitaki..!! 😹😹😹

Sasa si utafute nguo za kueleweka unavaaje matambara ya deki miaka hii jamani..!! 😥😹😹

Btw nawapenda wana JF wote mwaa 😘 mwaa 😘

Mimi mmbea tu km unaumia na mimi hizo sio shida zangu meza wembe au kunya boga sina msaada..!!
Wakunya boga ni huyu hivo visenene vitapasuka 🤣🤣
FB_IMG_17771399463703622.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣jmn
Baby wangu ananitunza nitavaaje matambar ya deki
Ningeshangaa shem kwa pesa zote zile safari za local tu anakupandisha mwewe ndo ashindwe kununulia nguo nzuri..!! 😹😹😹

Nilitaka nimpigie hapa nimkanye 🤣
 
Anafaa kwa matumizi ya binadamu.

Nje ya mada: Mlozi mwenzangu utafanya tuvurugane humu jamvini. 😁
Kuna kiwanja kipya acha kabisa😂 yaani huko ni kujipakulia minyama tuu😂
76edc4e0-dd7e-4117-af3b-58ebc837cf7c.jpeg
 
Lamomy japo sijui kwa nini ulipigwa Ban ili nimesikitika sana kipindi upo kifungoni juzi Kasongo wa Jf ELI COHEN EliNyahu alikuomgele vibaya na kukukandia .

Mimi sikuvumilia Kasongo kupambana na mtu ambaye hayupo nikanunua ugomvi nikaanzisha bonge la Vagi refa alikuwa secretarybird mpaka Kasongo akakimbia .

Kwa vile umerudi Kasongo ELI COHEN sio wa kumuacha hivi hivi , mimi nitasimamia shoo ashughulikiwe kisasawa , japo kanikimbia na kuniIgnore baada ya mashambulizi yangu ila bado nina usongo na Kasongo
Najivunia kwamba mechi niliichezesha bila upendeleo.
 
Back
Top Bottom