cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,683
- 182,050
Uduguu kwanini lakiniii??Mahi usicheke top za afu tatu yani nimecheka ila watani zangu wasukuma hawajawahi kufeli kwenye kuchekesha raia haijalishi ni wapi?![]()



Uduguu kwanini lakiniii??Mahi usicheke top za afu tatu yani nimecheka ila watani zangu wasukuma hawajawahi kufeli kwenye kuchekesha raia haijalishi ni wapi?![]()



Mods nao sitaki nataka.
Sasa mi nna madhara gani?
Halafu watu wenyewe wanasemea pembeni hata hawaji huku, huko selfika nna ban.
Vichaa wenyewe hata hawana mapya yote ya zamani. Wanasubiri mimi niwape topic ya kudiscuss.. km sasa hivi huko wanaongelea kuhusu blauzi yao ya afu tatu..!! Si umeona lakini ankal![]()



Halafu ni kila mwaka nawashikisha adabu basi tu hili balo jipya nalo linajaribu jaribu
Na washaanza kukaa kwenye line..!!



Mods waache zao bana kwanza wanirudishe selfika nataka kutupia picha 😹😹😹
Uduguu mie sitaki ujuee, khaaaah
Umekosa uondo pic imefutwa, yani nimepigwa shocked sikutegemea ila watani zangu wasukuma bana wananipa burudani sana..!! 😹😹😹Uduguu kwanini lakiniii??![]()
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Inategemea na ntu na ntu.
Wewe mtazamo wako ndio huo,
You are entitled to your opinion.
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
Mie wameni Ban pia,Mods waache zao bana kwanza wanirudishe selfika nataka kutupia picha![]()



Hukusave mahi? Masijala hukuweka jamaniii??Umekosa uondo pic imefutwa, yani nimepigwa shocked sikutegemea ila watani zangu wasukuma bana wananipa burudani sana..!!![]()



Pacha una zingua kinoma 😅😂Udugu nilikumiss 😘
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!
Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta 😹😹😹😹
Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniii…!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii 🤸♀️😹😹😹
Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz 😹😹😹😹
Naachaje bulauzi zito km lile nisisave 😹😹😹Hukusave mahi? Masijala hukuweka jamaniii??![]()
😹😹😹 Sio sana pachaPacha una zingua kinoma 😅😂
Sema punguza vita uta umiza wenzio😹😹😹 Sio sana pacha
Mimi sipo kokote ila nasimama na wenye mapenzi mema na nchi yetu..!!Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.
Trust me.
CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
😹😹😹 Na wanaumia kweli muda wote wanadiscuss top la afu tatu. Hapa nawatafutia new topic kisha nione nani atasup 🤣🤣Sema punguza vita uta umiza wenzio