Lamomy is back

Lamomy is back

Mods nao sitaki nataka.
Sasa mi nna madhara gani?

Halafu watu wenyewe wanasemea pembeni hata hawaji huku, huko selfika nna ban.

Vichaa wenyewe hata hawana mapya yote ya zamani. Wanasubiri mimi niwape topic ya kudiscuss.. km sasa hivi huko wanaongelea kuhusu blauzi yao ya afu tatu..!! Si umeona lakini ankal

Uduguu mie sitaki ujuee, khaaaah
 
Inategemea na ntu na ntu.

Wewe mtazamo wako ndio huo,

You are entitled to your opinion.
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
 
Hiyo ni hali halisi vifo na utekaji sio mitazamo ya watu tu! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu.

Na hayo yote yametokea veggies mkiwa mmeshikilia nchi na hamchukui hatua yoyote.
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.

Trust me.

CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
 
Udugu nilikumiss 😘
Ile siku tulipewa ban wote chezea sisi wewe..!!
Na jana nimewapelekea moto huko selfika mpk mods wamenipa ban kule..!!

Basi machogo yanajua yameniweza yanashinda yanabweka na milapulapu yao ya afu 3 hafu yalivyo maoga nasikia picha yamefuta 😹😹😹😹

Sasa kama huumii kwanini ufute picha ya top jomoooniii…!! Toka JF iumbwe na uzi wa selfika uwekwe kwa mara ya kwanza tumejionea dhambi ya fashooooooniiii 🤸‍♀️😹😹😹

Halafu humu kuna watu wanatuzeesha kutuita dada dada banah kumbe ni mashangazi zetu yani hawapishani kabisaa na umri wa baba zetu..!! Ukimix na mitopu yao basi akhaaa wagombania uhuru wa Afro Shiraz 😹😹😹😹
Pacha una zingua kinoma 😅😂
 
Upinzani wamejaa wahuni tupu hakuna wa kumuachia hazina pale utaikuta tupu baada ya wiki tu.

Trust me.

CCM ni bora mara elfu kuliko huko uliko.
Mimi sipo kokote ila nasimama na wenye mapenzi mema na nchi yetu..!!

Waacheni hao wapinzani ili nao tuwapime wananchi msiwasemee sababu ni wapinzani wenu..!!
 
Bigi ACHA kuchochea umbeya
Visit TikTok to discover profiles!.jpeg
 
Back
Top Bottom