Lamomy is back

Lamomy is back

Status
Not open for further replies.
Kumbe uzi uliendelea lol 🤣
6C5E547B-EE27-42B2-A4AF-ADF2823B82E8.jpeg
Touché 💃🏽
 
Watu wanapenda ubuyu wao waache wajidanganye hivo hivo kwamba hawajali kuonyesha micumer yao pm
Level niliyofikia hapa JF kuchachuana na makerubi ni kujidharirisha, mie huwa nadeal na Zumaridi mwenyewe.

Sipeleki watu Mjiniiii, na sitoiii kikiiiii atiiiii.
 
Level niliyofikia hapa JF kuchachuana na makerubi ni kujidharirisha, mie huwa nadeal na Zumaridi mwenyewe.

Sipeleki watu Mjiniiii, na sitoiii kikiiiii atiiiii.
Na wanaitaka kweli nafasi ya kupelekwa mjini 😹😹😹

Hao tusiwajibu muhimu team ziingie uwanjani nguchiro tuachane nao..!!
 
Depal na Fake p msiingie huo mtego, kaeni chini mpatane myamalize. Nyie ni marafiki yaliyopita si ndwele, gangeni yajayo
 
Depal na Fake p msiingie huo mtego, kaeni chini mpatane myamalize. Nyie ni marafiki yaliyopita si ndwele, gangeni yajayo
Wee mzee tulia hujui mambo yalipoanzia. Acha kuhoji na media zako uchwara..!! 😹😹😹
 
Wee mzee tulia hujui mambo yalipoanzia. Acha kuhoji na media zako uchwara..!! 😹😹😹
"Heri wapatanishi maana wao wataitwa wana wa Mungu" mathayo 5:9

Mimi nataka wapatane. Fake P na Depal hawastahili kuwa maadui
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom