akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 514
- 433
Mmeona mmezidiwa mnakuja kwa njia nyingine ya kumlilia DPP. Hadanganyiki mtu. Hakuna kesi kuondolewa.Mimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.
Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.
Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Kama mawakili wenu wazuri mna wasiwasi gani. Subirini mshinde kesi. Jiandaeni pia kupokea the worst scenario ya miaka 30 jela.