Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Tumia utu uzima kujib hoja kulingana ulivyoulizwa... Kisheri ni ruhusa kuingia na desa?Yeye kuingia mahakamani na desa cha ajabu ni nini?
Acha umbwiga!
Tumia utu uzima kujib hoja kulingana ulivyoulizwa... Kisheri ni ruhusa kuingia na desa?Yeye kuingia mahakamani na desa cha ajabu ni nini?
Acha umbwiga!
Bibi ushungi kaelekeza hivyoMimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.
Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.
Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Sasa kama utaulizwa chasis number ya gari au Control number ya muamala fulani utaitoa kichwani?Tumia utu uzima kujib hoja kulingana ulivyoulizwa... Kisheri ni ruhusa kuingia na desa?
Kila kesi tu kujichanganya ni kawaida inategemeana mashahidi wanauelewa kiasi gani! Wapo mashahidi wanaoweza kushuhudia tukio mojakwamoja lakin wanapofika kizimbani kila point inapotea! Kwa hiyo usishangae kuona hayo hivi sasaMimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.
Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.
Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Kwa uandishi huu hujawahi kuwa wakili.Mimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.
Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.
Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Wacha ifike mwisho tuoneMimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.
Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.
Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Sasa kama utaulizwa chasis number ya gari au Control number ya muamala fulani utaitoa kichwani?
Subiri majibu ya jaji leo!
Kwahiyo kit ulichonauhakika nacho kwa ushahidi wa kutosha unahitaji makabrasha wakat unajua uhakika wa unalolifanya unauhakika nalo?Hiyo ipo kuanzia shuleni!
Jaji kila siku anaghairisha kesi kwasbabu ya huyo unaesema hanalolote.na kati ya mawakili waliofeli kuwaajili, kibatala. kwanza hanaga hekima na professionalism ya sheria, ana hasira na analeta siasa tu. anawadanganya wengi ambao hawajui sheria na procedure za mahakamani kwa mambo ambayo hayaamui kesi na ndiyo wanayomshangilia nayo. subiri kesi iishe, si lazima itarushwa humu judgment yake.
ni kweli mkuu, hii kesi haina mashiko - ni kutumia kodi za walahoi na usumbufu kwa mambo ambayo hayana tija kwa taifa. Yaani CCM mmeiba kura mchana kweupe - watu wakabakia kimya - kama haitoshi tisa kumi mkaona bila kumfunga mwenyekiti wa chama kikubwa na upinzani hamtakuwa mmefaidi.mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya.
Naona Jaji hajapata majibu. Nadhani majibu siyo rahisi sana, "anapitia vizuri hoja" za pande zote mbili. Kazi kweli kweli.Sasa kama utaulizwa chasis number ya gari au Control number ya muamala fulani utaitoa kichwani?
Subiri majibu ya jaji leo!
Kweni ungeficha ujinga wako,ungeathirika na nini?Na kati ya mawakili waliofeli kuwaajili, kibatala. kwanza hanaga hekima na professionalism ya sheria, ana hasira na analeta siasa tu. anawadanganya wengi ambao hawajui sheria na procedure za mahakamani kwa mambo ambayo hayaamui kesi na ndiyo wanayomshangilia nayo. subiri kesi iishe, si lazima itarushwa humu judgment yake.
Kweli ingepunguza gharama za uendeshaji wa hii kesi.Chenye nguvu pekee cha kumfunga Mbowe ni Kauli ya Mama alpohojiwa na BBC. Hakukuwa na haja ya kuja na hawa mashahidi wezi wa nyaraka za mahakama. Wangetumia tu hiyo kauli ya Mama kumfunga Mbowe, basi tungeelewa kuwa kafungwa kwa amri ya Mkubwa wa kaya yetu
Tunafaulu kwa madesa.Hiyo ipo kuanzia shuleni!
Hivi ulikuwa "marehemu" Mbowe alipofungwa kwa kesi ya Akwilina? Ulisimuliwa mahakama ya Rufaa ilisema nini? Au ile kesi haikufika kwa DPP?Kwa akili yako unaamini angekuwa hajafuta hadi leo kama mfukoni hawana ushahidi, ushahidi bado unaletwa. kesi hii ina macho hadi ya nchi za nje, wangeona ni ya kijinga wala wasingeendelea nayo, ukiona wameng'ang'ana, omba tu Mungu asamehe mwenyekiti, jua kuna ukweli na ushahidi upo. hivi unafikiri huyo dpp na timu yake yoote hawana akili? na hiyo ni kesi yao ya kwanza kufungua hapa nchin?
Na huu ndo msimamo wa wenye akili wote.Tumekubaliana huyo mtoto asijibiwe chochote.... Tumuache na ujinga wake... Asikupasue kichwa Mkuu.
Dah hiyo naisi hata Elimu take alipata kwa kutumia vibomu.Watu wanaingia na vibomu kizimbani
Unapaswa kuongea na facts vile vile kwani hizo kesi nyingine za dpp ni sawa na hii au nyege za makalio tuKwa akili yako unaamini angekuwa hajafuta hadi leo kama mfukoni hawana ushahidi, ushahidi bado unaletwa. kesi hii ina macho hadi ya nchi za nje, wangeona ni ya kijinga wala wasingeendelea nayo, ukiona wameng'ang'ana, omba tu Mungu asamehe mwenyekiti, jua kuna ukweli na ushahidi upo. hivi unafikiri huyo dpp na timu yake yoote hawana akili? na hiyo ni kesi yao ya kwanza kufungua hapa nchin?