MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,721
- 4,995
Naona unalazimisha nyeusi kuwa nyeupe.....alafu ukumbuke sio kila siku jumapili....mwambie dada leo ni jumanne juzi ndo ilikuwa jumapili...Ndugu yangu ,hivi unaelewa unachokiandika hapa....mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni..
Jide hakuanza kung'ara baada ya kuolewa NA G ila jide aling'ara toka nyimbo yake ya machozi na ikampa hadi tuzo S.A .kuna wimbo kama distance ni joto hadi Leo kwa ubunifu NA hakuna msanii wa kike wa leo hii ambae ana nyimbo kama hiyo....
Jide NI wa kumfananisha na stara, ray c (ambae ndio walikuwa washindani haswaa), Renee lamira na wengine kama hao NA si watoto kama ruby ama maua....
Hata kama Beyonce na rihanna wataiteka dunia ila kuwafananisha na watu kama Whitney Houston NI sawa NA tusi LA nguoni....
ONCE A QUEEN ALWAYS A QUEEN
hater