vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,571
Habari wakuu....
Kila mtu anatambua "Mapinduzi ya mziki" yaliyofanyika miaka michache iliyopita...Na kwa kiasi kikubwa haya yanayoitwa mapinduzi yamechangiwa na kukua kwa matumizi ya social media..Mapinduzi haya yamewafanya wakongwe wengi kupotea na wengine kukaa pembeni kubaki kuwaangalia vijana wakipambana...
Mapinduzi haya ni kuacha kushabikia mziki mzuri na kuanza kushabikia mafanikio ya wasanii nje ya Tanzania. Na wengine wamezikabidhi akili zao Nigeria na South Africa wao ndio wawaambie upi ni mziki mzuri na upi sio mzuri. Wakikukataa hao hata utoe hit kali kiasi gani kuna baadhi ya wabongo wataponda kuwa hauchezwi SoundCity au MTV...Na wengine wakajiwekea rule mpya kuwa bila video kali hakuna ulichokifanya. Hili likawakatisha tamaa wakongwe wengi kutokana na budget kubwa inayohitajika kujitangaza kimataifa na kupata mafanikio. Wakakaa pembeni...
Na hata waliojitahidi kurudi wamekuwa wakitoa hit lakini wabongo wamekuwa wakisubiri response kutoka nigeria na south africa ili na wao wauone wimbo huo kuwa mkali...Mtu kaweka earphones masikioni simu ipo mfukoni anasikiliza mziki lakini kwa kuwa tu wimbo huo hauna video kali iliyokubalika MTV n other Africa media basi atauona mbaya..Its crazy!...
back to Jide.
This girl is something else... A true legend....A true commando...Mziki wake unamtambulisha...Na ndio maana watu wakisikia jide anatoa wimbo mpya wengi wao hawawazi kuhusu video (Ispokuwa wachache vijana wa sasa wa sekondari na vyuo), hawawazi sana kuhusu kuucheza club...Wanawaza mziki mtamu watakaousikiliza wakiwa kazini, wakiwa majumbani, wakiwa kwenye vyombo vya usafiri na mziki huo ukawateka akili wakakaa kusikiliza neno kwa neno kupata ujumbe anaoutoa..At the same time kupata burudani ya kipekee...Huyu ndio Lady Jay Dee....Wazee wenzangu tunamuelewa vizuri tangu enzi za Machozi....
Kuna mijitu mingine itauchukia mziki wa mtu kutokana na personality yake...Eti atauona mziki mbaya kisa Jide kagombana na garder, au ruge, au ..., au.........Hata kama kagombana na dunia nzima...Hili goma linaonesha huyu ni hazina kubwa Tanzania...Ni taahira tu ataafikiria kumfananisha Jide na Vanessa Mdee, au ..., au..... In short ni kuwa katika wanamuziki wa kike hakuna kama Jide...
Jide mama hata ukirekodi video ya wimbo huu kwa simu ukiwa umekaa chooni tu video nzima...Hili dude bado ni tamu balaaaaa.....
Toa video kali kwa sababu wewe pia ni mkali. Toa video kali kama zawadi kwa marafiki zako...Lakini hatutaumia video kujudge how good u are...We know you are the best mama...Jitangaze kimataifa ukipenda...Hata usipofanya hivyo bado tunaenjoy muziki wako na tunaamini hata nigeria hakuna anayekukaribia...
Words arent enough to explain how good U are...Wewe ni nyokooooooooo
NDI NDI NDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Your homie,
Vampire hunter
Kila mtu anatambua "Mapinduzi ya mziki" yaliyofanyika miaka michache iliyopita...Na kwa kiasi kikubwa haya yanayoitwa mapinduzi yamechangiwa na kukua kwa matumizi ya social media..Mapinduzi haya yamewafanya wakongwe wengi kupotea na wengine kukaa pembeni kubaki kuwaangalia vijana wakipambana...
Mapinduzi haya ni kuacha kushabikia mziki mzuri na kuanza kushabikia mafanikio ya wasanii nje ya Tanzania. Na wengine wamezikabidhi akili zao Nigeria na South Africa wao ndio wawaambie upi ni mziki mzuri na upi sio mzuri. Wakikukataa hao hata utoe hit kali kiasi gani kuna baadhi ya wabongo wataponda kuwa hauchezwi SoundCity au MTV...Na wengine wakajiwekea rule mpya kuwa bila video kali hakuna ulichokifanya. Hili likawakatisha tamaa wakongwe wengi kutokana na budget kubwa inayohitajika kujitangaza kimataifa na kupata mafanikio. Wakakaa pembeni...
Na hata waliojitahidi kurudi wamekuwa wakitoa hit lakini wabongo wamekuwa wakisubiri response kutoka nigeria na south africa ili na wao wauone wimbo huo kuwa mkali...Mtu kaweka earphones masikioni simu ipo mfukoni anasikiliza mziki lakini kwa kuwa tu wimbo huo hauna video kali iliyokubalika MTV n other Africa media basi atauona mbaya..Its crazy!...
back to Jide.
This girl is something else... A true legend....A true commando...Mziki wake unamtambulisha...Na ndio maana watu wakisikia jide anatoa wimbo mpya wengi wao hawawazi kuhusu video (Ispokuwa wachache vijana wa sasa wa sekondari na vyuo), hawawazi sana kuhusu kuucheza club...Wanawaza mziki mtamu watakaousikiliza wakiwa kazini, wakiwa majumbani, wakiwa kwenye vyombo vya usafiri na mziki huo ukawateka akili wakakaa kusikiliza neno kwa neno kupata ujumbe anaoutoa..At the same time kupata burudani ya kipekee...Huyu ndio Lady Jay Dee....Wazee wenzangu tunamuelewa vizuri tangu enzi za Machozi....
Kuna mijitu mingine itauchukia mziki wa mtu kutokana na personality yake...Eti atauona mziki mbaya kisa Jide kagombana na garder, au ruge, au ..., au.........Hata kama kagombana na dunia nzima...Hili goma linaonesha huyu ni hazina kubwa Tanzania...Ni taahira tu ataafikiria kumfananisha Jide na Vanessa Mdee, au ..., au..... In short ni kuwa katika wanamuziki wa kike hakuna kama Jide...
Jide mama hata ukirekodi video ya wimbo huu kwa simu ukiwa umekaa chooni tu video nzima...Hili dude bado ni tamu balaaaaa.....
Toa video kali kwa sababu wewe pia ni mkali. Toa video kali kama zawadi kwa marafiki zako...Lakini hatutaumia video kujudge how good u are...We know you are the best mama...Jitangaze kimataifa ukipenda...Hata usipofanya hivyo bado tunaenjoy muziki wako na tunaamini hata nigeria hakuna anayekukaribia...
Words arent enough to explain how good U are...Wewe ni nyokooooooooo
NDI NDI NDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Your homie,
Vampire hunter