Ukitaka kujua hii nyimbo mbaya kwanza imenyimwa airtime na bila kuwekwa hapa na wapambe wake ushuzi nina huakika msinge isikia kabisa kwenye vituo vya redio.....jide anachotakiwa ni kuamini alikuwa anatembea na mataili(nyota) ya gadner....sasa haipo ajiandae kuwa mshabiki wa muziki na sio mwanamuzi....wako wapambe ambao hawakubali hili ila kwa wachambuzi wa muziki watakubaliana na mimi nyota ya jide ilianza kung'ara punde tu alipoingia kwenye maisha ya ndoa na gadner.....na hii sio tanzania tu wasanii waliopotea kwa kukosana na waume zao na ambao walikuwa wanang'ara kwa nyota za waume zao mfano mariah Carey alipotea baada ya kuachana na mmewe wa kwanza Tommy Mottola.....wote mashahidi tuliona kilichompata Mariah Carey ....