Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
Nna experiences za kutosha aisee, zangu mwenyewe na wengineoUmejuaje Boss??
Nna experiences za kutosha aisee, zangu mwenyewe na wengineoUmejuaje Boss??
husu Mimi basiNna experiences za kutosha aisee, zangu mwenyewe na wengineo
Team kitonga n wakina mziwanda saiv habar ya town ni #TEAM DVD![]()
![]()
sana na ndo mana ukifuatili comments nyingi kwenye huu Uzi wengi wanaponda ndo utaamini team vitonga wako wengi mjini
Nikwambie nini kuhusu wewe wkt sikufahamu??Niambie ku
husu Mimi basi
Mfa maji#team DVDkwani lini gadna alikuwa juu,yeye ni mtu normal na watu tulikuwa tunamkubali kabla hajahongwa na huyo kibibi ili awe naye,huyo kibibi wenu anajua fika kabisa bila kumuua gadna hawezi kupata attention kwa watu,siku hz kuna wakali kama kina rubi,sio huyo ajuza

Mbona waongea kwa ukali hivyo wakati tunaenda pole pole Tu hapa BossNikwambie nini kuhusu wewe wkt sikufahamu??
Mie naongelea wasaliti who take other people for granted. Kama wewe mmoja wapo ulishasaliti wait for your karma
Gadna muda wa kukaa mjin ushaisha kikongwe babu kalime!teh teh teh tehhhhh,jideeee,we sasa hv unafaa uimbe taarabu,bongo fleva ishakushinda,waachie watoto wakare na wabichi kama kina vanessa
Umeona eeh??!!!
Binafsi Jide kanikosha!
Mbona waongea kwa ukali hivyo wakati tunaenda pole pole Tu hapa Boss
basi haya acha nipoeHapo utatoa mifano mpka ya marehemu team DVD n wagumu kuamin kama mwenyekit wao kaondoka na box tuMbna wasanii wengi wa unyamwezini wanakamua kama alivyo imba jide,kama mna kumbukumbu nzuri,kuna mwimbo alimba jlo-love dont cost a thing...alimwimbia puffy dad...so kwa jay dee ndio inaonekana haifai
Jide alikuwa anapigwa sana ndoo maana akasepaNani alikuwa anapigwa sana
Nilijua ni Biashara tu...kila mtu anapost...zimebaki sijuwi siku...Leo nimebahatika kuskiza nyimbo yake mpya... ni tamu sanaaa....