MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,720
- 4,995
Kama unataka kujua naitwa nani wasiliana na uongozi wa jamii forum watakwambia naitwa nani.....heshima ni kitu cha bure tubishane kwa hoja na kama huna hoja ya kutetea unachokiamini unaweza ukanyamaza....hata ukikaa kimya watu watajua uwepo wakoHivi ndugu Mtitu hivi kweli unafatilia muziki kweli wewe? Wimbo huu metoka lini?
Wimbo una siku ya pili halafu unasema umekosa air time? ndio kwanza hata masaa 48 bado halafu unazungumzia air time? Nafikiri ujikite kwe filamu na kupambana na wakina Steps achana na mambo ya muziki!
Ni aibu kusema huu wimbo ni mbaya labda kama una lako jambo!
