Sorry, wee ni Imam yule wa 10 nje 10 ndani mkuu au ni icon tu umetumia kiongozi...?.kama umechoka kusikiliza wacha kwan ulishikiwa bunduki mapnz yana run dunia kama utaki acha
kama umechoka kusikiliza wacha kwan ulishikiwa bunduki mapnz yana run dunia kama utaki acha
Mashabiki maplastik ndio watakao mchukia ila wafuasi huwa hawajali vitu kama hivyo.Mimi ni shabiki mkubwa wa Jide ila hii aimwachi salama. Watu wameitafsri kama dharau.
Nilijua ni Biashara tu...kila mtu anapost...zimebaki sijuwi siku...Leo nimebahatika kuskiza nyimbo yake mpya... ni tamu sanaaa....
Baada ya kutoa wimbo mpya Jide achafua hewa.
Watu baada ya kumpokea kwa mikono miwili wageuka nakuanza kumshambulia baada ya kuwa unfollow watu wote nakutembeza block kwa watu mbalimbali ikiwemo mastaa wenzie.
Aijaeleweka kwa nini kafanya hivyo ila wadau wanasema anatumia style ya Kiba ambayo alirudi nayo ya kuunfollow kila mtu na ukizingatia Jide pia anasimamiwa na Seven wa Rockstar ambaye ni meneja wa Kiba.
Watu wametishia kufuta nyimbo walizo download.
Jide inabidi awe makini na vitu vinavyoweza kumletea picha mbaya maana mpaka hapo ana makovu mengi sana anaitaji sana watu.
Mipasho nayo si ni sehemu ya kazi?Huo mkorasi wa kibabe sana..Big up Jide..Nice song..Ila mipasho inatosha sasa..Piga kazi
Imekuchoma eeh?Nyimbo nzuri,ila mwisho wake utaishia hapa kama bado ataendelea nao ( eti wewe ni msanii tena wabongo hii hii halafu unasema mimi ni timu fulani )Lady Jay Dee: Mimi ni Team Kiba
Inanichomaje hadi nijinyonge kwa mfano, hayo ni mawazo yangu na si sheria wala biblia au msahafu ni juu yake/yako kuyaamini au kutokuyaamini. Hebu tuyaache hayo, vipi mimba feki imeishia wapi ??? ( mimba ya wema a.k.a bosi wako na wewe kama " wema replies" jina unalotumia Instagram, siamini kama utanuna kama ulivyoninunia na leo bahati mbaya ume quote )Imekuchoma eeh?
Ndio keshasema sasa,jinyonge basi!
Nchi huru hii,kuwa shabiki wa msanii fulani ni uhuru wa mtu binafsi bila kujali yeye ni nani.
Efm mbona nyimbo za Jay dee zinapigwa sana.Uko powa waipe promo tu, gadna akikaza pale e FM huku ruge km kawaida yake inaweza isifike mbali