Lady Jay Dee - Ndi Ndi Ndi (Audio & Video Teaser)

Going Concern

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
1,071
1,211
Nilijua ni Biashara tu...kila mtu anapost...zimebaki sijuwi siku...Leo nimebahatika kuskiza nyimbo yake mpya... ni tamu sanaaa....

Leo Lady Jaydee ameachia wimbo wake mpya baada ya kimya cha muda mrefu. Wimbo inaitwa Ndi ndi ndi ndi ndi ndi..

Uzuri ni kwamba amepokelewa vizuri sana na mashabiki mitandaoni.. Kwenye wimbo wake Jide amesimama kwenye muziki wake watu waliompendea ameepuka mtego unaowapoteza wengi wa "jaribu kuendana na soko" amesimama tena Malkia wa East Africa.

Jide kaonyesha ni kwa nini ata wasiompenda hawana jinsi zaidi ya kupenda muziki wake.

Jide kashindikana ata wale walio mwambia aachie kijiti awajui watampokonyaje kijiti chake na wakimpokonya bado haonekani wa kukipokea.

Bila kichupa wala mizengwe kazi ndio imemsimamisha tena.

Asante Sana Anaconda kwa kuamka na kupaa kwa mpigo.
 
The crown is yours mama.......
Jide haimbi wimbo ambao utausahau kirahisi maana yakikukuta lazma utautafuta NA ndio maana wimbo wake wa machozi hauifi kwa kuwa ukipigwa NI kama uliitolewa jana...
Wimbo NI mzuri sana huu kwa sauti, ala na ujumbe wake..

Nilikuwa nimeshachoka na nyimbo za wasanii wa sasa.mapenzi tuuu kama tunapeana lecture darasani na swaga zao za Nigeria..hii ni ladha ya bongo flavour..AHSANTE JIDE

SHE IS A SOUL MATE SONGTRESS
 
Leo Lady Jaydee ameachia wimbo wake mpya baada ya kimya cha muda mrefu. Wimbo inaitwa Ndi ndi ndi ndi ndi ndi..

Uzuri ni kwamba amepokelewa vizuri sana na mashabiki mitandaoni.. Kwenye wimbo wake Jide amesimama kwenye muziki wake watu waliompendea ameepuka mtego unaowapoteza wengi wa "jaribu kuendana na soko" amesimama tena Malkia wa East Africa.

Jide kaonyesha ni kwa nini ata wasiompenda hawana jinsi zaidi ya kupenda muziki wake.

Jide kashindikana ata wale walio mwambia aachie kijiti awajui watampokonyaje kijiti chake na wakimpokonya bado haonekani wa kukipokea.

Bila kichupa wala mizengwe kazi ndio imemsimamisha tena.

Asante Sana Anaconda kwa kuamka na kupaa kwa mpigo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom